Recent content by Kumbakumba

  1. Kumbakumba

    Mwakyembe: ATCL Kununua Ndege Mbili Mpya!

    Nilizima tv baada ya kuanza hizi story
  2. Kumbakumba

    Museveni amsifu Kenyatta kwa kuwa mtu wa vitendo zaidi

    Kinachonishangaza nchi hii ni kwamba wanaiba, inajulikana wameiba na hakuna kitu serikali inafanya
  3. Kumbakumba

    Msaada wa madawati

    Asante sana
  4. Kumbakumba

    Msaada wa madawati

    Ni mashirika gani huwa yanatoa msaada wa madawati?
  5. Kumbakumba

    Kashfa ya jengo refu kujengwa karibu na Ikulu: Ukweli ni Huu...!

    kila kitu ikulu inahusika????kama ni kweli ni tatizo
  6. Kumbakumba

    Ni Wapi Soko la Mbaazi Ntapata?

    Nafahamu pia india wananunua sana mbaazi, sifahamu wanatumia kwa kazi gani
  7. Kumbakumba

    IGP Said Mwema aongezewa mkataba

    naamini iko siku atajibu anayoyasimamia kwa sasa
  8. Kumbakumba

    Mawaziri Khamis Kagasheki na Thereza Huviza wagongana

    Utalii unaoharibu mazingira yetu hatuuhitaji hata kidogo.kama kagasheki anautaka atafute pa kuupeleka
  9. Kumbakumba

    mayai ya kisasa arusha

    Nina tray 100 za mayai ya kisasa yapo arusha mjini.serious bussiness atume msg 0713225787
  10. Kumbakumba

    JK aliulizwa maswali haya na wazee wa Serengeti,na majibu yake kuhusu BILILA

    Scandnavia bus service ilikufa..ndio naweza kusema tu kwa sasa
  11. Kumbakumba

    Kwa akili hizi za viongozi wetu, Tanzania bado sana

    Zimbambwa+Tanganyika+Pemba=Tanzania....Mbunge mwingine nasikia aliwahi kusema barabara ya lami ijengwe ndani ya serengeti national park, ila eti wanyama wawekewe madaraja ya chini ya barabara wapite ili wasigongwe, nikawaza nikasema huyu mbunge angepewa muda zaidi wa kuzungumza angemalizia...
  12. Kumbakumba

    Sheikh Fareed wa Uamsho apatikana akiwa yu hai na mwenye afya tele

    Sasa hivi siiamini serekali hata kidogo,serekali gani inayopigwa mkwara na wahalifu na inatii..upuuzi mtupu
Back
Top Bottom