mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 7,848
- 3,483
Humjui Mosena Nyambabe wewe, utakuwa umesimuliwa. Muulize hata James Mbatia wa NCCR Mageuzi waliyekuwa naye UDSM na kufukuzwa chuo miaka ile ya early 90s wakati wa vuguvugu la mageuzi nchini.
Baada ya hapo utafute japo speech zake akiwa kwenye majukwaa utaipata vizuri habari yake.
mosena ni strong political figure sema alikuwa akigombea kipindi kukiwa na mwamko mdogo wa wananchi pia kulikuwa hakuna support kubwa kutoka kwa vyama alivyokuwa akigombea yaan nccr na cuf kwani walikuwa na support ndogo katika kuweka mawakala kiasi kwamba alikuwa anapigana peke yake