Nahitaji kuanza Kulima mbaazi huko Morogoro.
Waungwana, naomba kujulishwa soko la uhakika ntapata wapi?
Na je ni kweli viwanda vya kutengeneza biskuti vinanunua hzo mbaazi?
Naomba kuwasilisha...
Soko lao lipo kigogo sambusa,wewe leta mzigo wako
mbaazi zikoje mkuu,tuwekee pichaNahitaji kuanza Kulima mbaazi huko Morogoro.
Waungwana, naomba kujulishwa soko la uhakika ntapata wapi?
Na je ni kweli viwanda vya kutengeneza biskuti vinanunua hzo mbaazi?
Naomba kuwasilisha...
mbaazi zikoje mkuu,tuwekee picha