Ni Wapi Soko la Mbaazi Ntapata?

The Giant

JF-Expert Member
Jun 24, 2012
504
96
Nahitaji kuanza Kulima mbaazi huko Morogoro.
Waungwana, naomba kujulishwa soko la uhakika ntapata wapi?
Na je ni kweli viwanda vya kutengeneza biskuti vinanunua hzo mbaazi?
Naomba kuwasilisha...
 
Nahitaji kuanza Kulima mbaazi huko Morogoro.
Waungwana, naomba kujulishwa soko la uhakika ntapata wapi?
Na je ni kweli viwanda vya kutengeneza biskuti vinanunua hzo mbaazi?
Naomba kuwasilisha...

Nenda METL pale Nyerere road Dar watakwambia na bei.
 
Mbaazi ni zao lenye soko lisilotetereka. Bei yake ipo juu na haipungui mia saba kwa kilo hadi elgu moja kutegemea msimu. Arusha kuna soko kubwa la uhakika. Inafahamika kwamba India ni watumiaji wakubwa mbadala wa dengu. Nadhani inaitwa pigeon peas kwa Kimombo.
 
Nahitaji kuanza Kulima mbaazi huko Morogoro.
Waungwana, naomba kujulishwa soko la uhakika ntapata wapi?
Na je ni kweli viwanda vya kutengeneza biskuti vinanunua hzo mbaazi?
Naomba kuwasilisha...
mbaazi zikoje mkuu,tuwekee picha
 
Back
Top Bottom