zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Rais,makamu wa rais,IGP,JAJI mkuu,kamanda kanda maalumu Dar,wote waislamu,je nani atatetea makanisa yakichomwa?
Pengo!
Rais,makamu wa rais,IGP,JAJI mkuu,kamanda kanda maalumu Dar,wote waislamu,je nani atatetea makanisa yakichomwa?
hakuna Rais hakuna Jeshi ndomana SMZ wanaidharau sababu inashindwa kutoa adhabu kali kama iliyokuwa akifanya dr Salmin
Mmeona heh, mambo ya Al shabab,Boko haram na al qaida?
Uamsho wanabackup kubwa ya serikali Karume,Moyo, na MPS wanawasupport hawa jamaa.na wana influence kubwa sana kwa wazanzibar. Ila kwasasa inaoneka kama wanaujumiwa ili wapigwe marufuku kutoa mihadhara.Haya yaliotokea Kiongozi wa UAMSHO Bw. Mselem aliyatabiri 3 weeks ago kuwa yatatokea na yatausishwa na Uamsho. :A S-rap:
Ni kweli mkuu,kwa hali ilivyo sasa tunapaswa kuwa makini na hawa jamaa!Siku chache zilizopita nilihama Hotel ktk ya mji baada ya kuona vibaragashia vingi vinacheck inn nao kama wateja, mie binafsi hivi sasa kwa movent hizi tunazoziona tayari naamini kabisa 100% ( lakini sina ushahidi) Al shabaab/Boko haram Dar wapo & time will tell. chondechonde tusipende kurundikana rundikana kama kumbi kumbi
Wakristu hawahabu mtu wanamwabudu mungu wa kweli!!Pengo!
Mkuu, namemsikia sasa hivi 23:50HR akizungumza na correspondent wa ITV, analalamika kwamba eti Mafisa wa Polisi na Usalama kutoka bara ndio walimu-apprehend kwa mahojiano ya kina!! Nilimsikiliza kwa umakini alivyo kuwa anamjibu mwandishi wa habari - one could SENSE kwamba anataka ku-implicatemainland kwa masahibu yake!! Kama ni kweli how did he know kwamba wahusika walikuwa predominantly wanatoka BARA, kwani Visiwani hakuna ma afisa wa kumuhoji kama kulikua na ulazima wa kufanya hivyo?
Amelisema hili akiwa na malengo fulani akili mwake (in my opinion) - I stand to be corrected.
Wakristu hawahabu mtu wanamwabudu mungu wa kweli!!
Nipo sana tuu ila miye nimesha jikubali siye "machogo", hivyo kwa sasa huko kwenu sikanyagi kwa muda, nawasubiria mpaka mtakapopata kile mnachokitaka ndipo niombe viza yenu nije huko kukusalimia!, ila hala hala, Oman isije geuka ni karibu kuliko Dar, Tanga na Mafia! au wakati mkiomba mnachokitaka, pia mtaziomba na zile 10 Miles za Costal Stripe za Sultan alizopewa na Mkoloni?.Hahahaaaa pasco u made my day kamanda upo yakhee sikuoni sikuhizii
Sinema
Uongo uliotengenezwa bila elimunimemsikiliza Sheikh Fareed akihojiwa baada ya kupatikana. huyu jamaa ni genius. alikuwa amefungwa kitambaa usoni(haoni) na amefunngwa pingu mikononi, na hakuweza kuyaona mazingira ya nyumba aliyowekwa lakini alikuwa ananyanyuka anaenda chooni kujisaidia na anakunywa maji bombani(kule wanaita mfereji) humo ndani huku haoni na kafungwa pingu.
Pia huyu jamaa ni jembe haswaa, amekaa siku tatu bila kula, anaulizwa sasa hawa watu waliokusanyika hapa utakuwa nao mpaka saa ngapi anasema atakaanao hadi atakapochoka, yaani bado hajachoka, jamaa ana energy sana.
BREAKING NEWS Sauti ya UST Farid na Salma Said | Mzalendo.net