Museveni amsifu Kenyatta kwa kuwa mtu wa vitendo zaidi

Nyamtala Kyono

Senior Member
Sep 23, 2010
163
34
Leo katika ikulu ya nairobi,kenyatta alikuwa ana saini mkataba wa ujenzi wa reli na china kutoka mombasa,nairobi,uganda mpaka rwanda. Maraisi wa cow wote walikuwepo. Tanzania iliwakilishwa na membe,nilimuona kwa mbaali akijichekelesha. Sikumuona rais wa burundi pia.

Katika kusema chochote,raisi museveni alisema anamshukuru kenyatta kwa kuwa mwana afrika mashariki wa vitendo na sio kwa maneno. Akanukuu biblia akisema "mtawajua kwa matendo na sio maneno".
Kwangu mimi naona si tu amemrushia dongo jk bali na kwa nchi yetu.

Karibuni tujadili
 
Kinachonishangaza nchi hii ni kwamba wanaiba, inajulikana wameiba na hakuna kitu serikali inafanya
 
Tz labda mkoloni aje tena ndio atajenga! Kwa stye ya mijitu inayoongoza hii nchi kwanza waongo, si mapatriot, wanafki wapo Dodoma wanapiga kelele wakati action speak louder!
 
Leo katika ikulu ya nairobi,kenyatta alikuwa ana saini mkataba wa ujenzi wa reli na china kutoka mombasa,nairobi,uganda mpaka rwanda. Maraisi wa cow wote walikuwepo. Tanzania iliwakilishwa na membe,nilimuona kwa mbaali akijichekelesha. Sikumuona rais wa burundi pia.

Katika kusema chochote,raisi museveni alisema anamshukuru kenyatta kwa kuwa mwana afrika mashariki wa vitendo na sio kwa maneno. Akanukuu biblia akisema "mtawajua kwa matendo na sio maneno".
Kwangu mimi naona si tu amemrushia dongo jk bali na kwa nchi yetu.

Karibuni tujadili
Kivipi? hapo kwenye nyekundu
 
UHURU KENYATTA ni kiongozi wa aina yake sasa hapo sudan. Ethiopia.Uganda.Rwanda. Na baadhi ya eneo la Congo watatumia bandari ya Mombasa kupitisha mizigo yao
 
Uhuru Kenyata anatumia mwanya wa rushwa unaoitafuna bandari yetu na tozo zisizoeleweka ili kuinufaisha nchi yake huku tunasema hyo reli haina madhara Are we serious kweli au tunachekesha
 
cjui hii nchi yangu ina viongozi gani bajeti yenyewwe ni hewa dah naumia jmn maan hilo dili lilikuwa letu la kujenga reli baada ya kagame kuona jk plana yk kuwa kwny makaratasi akibadi aforce kenya
 
Amejitahidi kumaliza migogoro ya wafanyakazi na amepunguza mishahara kwa kiasi fulan hasa ile ya wakurugenzi wa taasisi na mashirika ya umma, mwaka huu hata maandamano ya walimu kenya nadhani hayakuepo na amejenga uhusiano mwema na mataifa mengi duniani na ameendelea kupunguza utegemezi wa bajeti ya nchi yake kwa wahisani wa nje kijana yuko kikazi zaidi
 
Kenya asilimia 80 ya bajeti yao ni pesa yao wenyewe na wanabaki na ufadhili ktk miradi mikubwa tu
Tanzania watu wako buze kucheka hovyo ila ukweli ni kwa mba wenzetu wametuacha sasa



cjui hii nchi yangu ina viongozi gani bajeti yenyewwe ni hewa dah naumia jmn maan hilo dili lilikuwa letu la kujenga reli baada ya kagame kuona jk plana yk kuwa kwny makaratasi akibadi aforce kenya
 
Kwa wanaoagiza mizigo nje wanajua ukipitishia mzigo wako bandari ya Mombassa hakuna usumbufu na hata kama unauleta Dar mzigo huo unaokoa karibu shilingi milioni moja na nusu hadi mbili ya tanzania
 
Leo hii shilingi 100 ya kenya ni sawa na 1800 ya tanzania nchi yenye amani na utulivu kwa miaka 50 ya uhuru thamani ya pesa yetu inazidi kushuka bado tunachekelea tu
 
Hii ni nchi ya mipasho, acha tuendelee na mipasho wakati wenzetu wako kikazi zaidi. After all nani anahitaji reli wakati malori ya Riziwani Kikwete yanatosha kusafirisha mizigo yote....
 
Hiyo reli ya akina Uhuru Kenyatta itatusaidia sana sisi watanzania wa kanda ya ziwa kupitisha mizigo yetu Mombasa maana gharama za malori toka Dar ni kubwa sana sisi
 
cjui hii nchi yangu ina viongozi gani bajeti yenyewwe ni hewa dah naumia jmn maan hilo dili lilikuwa letu la kujenga reli baada ya kagame kuona jk plana yk kuwa kwny makaratasi akibadi aforce kenya

Waambie akina Lusinde au Makonda wakusikie uone...
 
Kitambo nilishaachana na bandari ya Dar kwani rushwa na tozo za ajabu ajabu halafu kuzungushana na hauwezi kuendelea kama huwezi kujali muda wa kazi zako



Hiyo reli ya akina Uhuru Kenyatta itatusaidia sana sisi watanzania wa kanda ya ziwa kuwatisha mizigo yetu Mombasa maana gharama za malori toka Dar ni kubwa sana sisi
 
Back
Top Bottom