Recent content by kukile

  1. K

    MUHIMU: Tuma maoni yako ya Rasimu ya Katiba Mpya, Mabaraza ya CHADEMA

    Ahsante kwa kupata nafasi hii ya kutoa maoni juu ya katiba tunayoitaka. Napendekeza yafuatayo yaingizwe kwenye katiba:- (1) Kuwepo serikali tatu kama ilivyo kwenye rasimu ya katiba (2) Kuwepo wagombea binafsi (3) Mikataba yote ambayo nchi inaingia na wawekezaji wa ndani na wa nje lazima...
  2. K

    Fuata steps hizi uirudishe star t.v kwenye startimes

    Na mimi pia nimepata kwa kutumia 530
  3. K

    Business plan za aina zote zinapatikana ukifungua hii post

    Umenikuna and you have come timely. Nilikuwa nahangaika namna ys kutengeneza. Sasa ngoja nichague ninayoitaka
  4. K

    The war between Apple and Samsung will never end

    Haya makampunisi walikuwa marafiki kiasi cha kushirikiana nakupeana au kubadilisha apps? sasa ni cha mno kilichowakosanisha? Naona watakaoumia zaidi ni watumiaji
  5. K

    Wizi kwenye simu.

    Akina Tomaso ruksa kujaribu kupiga halafu watujuze kilichowapata
  6. K

    Internet ya vodacom ni balaaaaaa

    Nashukuru kwa kunipiga shule ya ukweli.
  7. K

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Bado sijaridhika na kiwango cha uchezaji wa ManUtd. In the return match in Turkey the host team can do better
  8. K

    Nauza viwanja gezaulole vyenye vocha kama doc zinavyoonyesha hapo chini

    Kufa kufaana mimi hunipata ng'o. Dalali unagonga pakubwa mno
  9. K

    Wanfunzi 33,050 kupewa mikopo kati ya zaidi ya 49,000 walioomba

    Ina maana kuwa siri-kali haina fedha ya kuwalipia waombaje wote!?
  10. K

    Did Mwalimu die a natural death?

    Yafaa ukweli ujulikane kama alivyoanza Vincent
Back
Top Bottom