Halafu hebu angalia link hii Is +88 the ph code for a satellite call? - Yahoo! Answershiyo ni namba ya nje ya nchi na wala sio wezi wala nini .. Imeingia kwenye simu yako kwa bahati mbaya wewe ukaitwangia kijana so ndio maana salio lako likayeya
Halafu hebu angalia link hii Is +88 the ph code for a satellite call? - Yahoo! Answers
hii ni setelite phone call
Mkuu sasa hivi nina watu zaidi ya kumi wanalalamika hivyo na leo tu nimeingi ofsini kunajamaa kaja kwangu kaniambia kapigiwa simu hiyo na akaamua kuipiga alipopiga simu ikakata alipoangalia salio ni 0 na alikuwa na sh 10000 kwenye simu yake. Ikabidi niipost hii isue hapa jamvini kwa moyo mweupeeeeee.Satellite call huwa ni expensive sana na mara nyingi huwa zinawekwa katika maeneo ambayo hayafikiki kiurahisi kama kwenye makambi hivyo huenda ulipojaribu kuipiga ikapokelewa salio lako likaisha lote
Akina Tomaso ruksa kujaribu kupiga halafu watujuze kilichowapata
Mkuu sasa hivi nina watu zaidi ya kumi wanalalamika hivyo na leo tu nimeingi ofsini kunajamaa kaja kwangu kaniambia kapigiwa simu hiyo na akaamua kuipiga alipopiga simu ikakata alipoangalia salio ni 0 na alikuwa na sh 10000 kwenye simu yake. Ikabidi niipost hii isue hapa jamvini kwa moyo mweupeeeeee.
Wadau namba yenyewe hii hapa jaribuni wenyewe +881842011294. Anayetaka kutest ruksa
Wana JF sijajua sehemu ya kuipost hii thread. Jamani kumetokea wezi kwenye simu. Utabipiwa namba inayoanzia +88 ndugu usijaribu kupiga maana hata kama una sh 100000 kwenye simu yako itaisha pale pale.
Muwe makini.
Ukitest lete feedback poa jamani. Usikae kimya tu.