Yaani tanzania imefika
kubaya. Nyie ndio mafisadi wala rushwa, mmejinyakulia viwanja kinyemela
mmepeana, sasa mnalangua!
Kweli only in tanzania. Na huogopi kusena hadharani unalangua vocha! Mie
nimegoma kiwanja cha kulanguliwa baba, bora ninunue pori nipime. Ibeni
vocha weeeh mkichoka nitanunua chalinze. Ila yana mwisho maigizo yenu
haya.
Kufa kufaana mimi hunipata ng'o. Dalali unagonga pakubwa mno