Recent content by kudra haji

  1. K

    Zitto: Ziara ya Rais Magufuli bandarini haikuwa na jipya, amefanya kazi iliyotakiwa kufanywa na Afisa wa TRA

    Zitto mambo yako ni mazito kama lilivyo jina lako.Unafikiria mbali zaid kuliko anavyofikiria jiwe
  2. K

    Naomba code za kufanya namba isipatikane hata ukiwa umewasha simu

    Broo nipatie hizo code za kuweka kwenye simu isipatikane au itapendeza zaid ikiwa inapokelewa na mhudum wa huduma kwa wateja
  3. K

    Upi ni ukweli kuhusu THE PHILADELPHIA EXPERIMENT

    Aisee! Plz broo nami nahitaji vitu adimu km hivyo.Naomba ukiwa unaweka nami unanishtua
  4. K

    Zitto Kabwe amjibu Humphrey Polepole. Asema yupo tayari kukamatwa na hata kuuawa ila mawazo yake hayatakufa

    Da! Kwa nini tusipewe jibu rahisi tu kua tri.1 na bill 5 zimetumikaje? Kuliko kumrushia maneno mengi Zitto.Bila shaka huenda labda Zitto yupo sahihi
  5. K

    Serikali ya Magufuli imepoteza TZS 1.5 trilioni mwaka 2016/17. Imetumia Mabilioni kinyume na Utaratibu, Imelipa Madeni Hewa

    Du! Uchambuzi makini saana broo Zzk.Hali ni tete.Big up kwa kutuelimisha.Bila shaka watajirekebisha wahusika
  6. K

    Nick wa Pili na mbwembwe za usomi

    Upo sahihi kaka
  7. K

    Maji ni Mtego wa Umasikini (poverty trap)

    Aisee ndugu Zitto analysis yake kuhusu maji ni sahihi kabisa. Karibu saana mheshimiwa. Tunahitaji fikra zako pevu.
  8. K

    Msaada wa kutafsiri picha hii kwa madaktari hasa wataalamu wa uzazi

    Acheni kumkatisha tamaa.Hilo tatizo linatibika kabisaa.Kama upo Dar nenda hospital ya Tumain ipo Upanga.Muone dkt specialist anaitwa Thomas ni mwanamke atakusaidia.Mm ni shuhuda
Back
Top Bottom