Msaada wa kutafsiri picha hii kwa madaktari hasa wataalamu wa uzazi

Acheni kumkatisha tamaa.Hilo tatizo linatibika kabisaa.Kama upo Dar nenda hospital ya Tumain ipo Upanga.Muone dkt specialist anaitwa Thomas ni mwanamke atakusaidia.Mm ni shuhuda
 
Wale jamaa wa mikocheni kufanikisha kwao sio saana sishauri mtu sana Nina uzoefu bora aende south au nairobi
Kuna mmoja mume alikuwa na kisukari so akapata na problems hiyo ya low sperms count si a kaenda agakhan eti wakatoa sperm za jamaa wakamwagia kwa mke then akalala chali kwa dk15 kweli kitu kikatiki
 
Yes babes!

Capable of motion.

Kwa mfano hizi zangu zina spidi kali sana. Nikikumwagia kama uko kwenye siku mbaya lazima inase tu.

Tujaribu siku moja uone...
s
Afu naona huu ubeibebeibe unataka kuvuka risasi ya Kinondoni. You must watch yo self bros.
 
Kwa teknolojia ya leo hata hapo Nairobi Kenyatta Hosp. wanachukua moja tu na kuipandikisha yai pevu unapata moutoto ile ina kufanana baada ya mesi 9 tu.
Basi Raisi wa "daslum" angefanikisha yote yeye katika aliye Nairobaa.
 
  • Thanks
Reactions: mfu
Kuna mmoja mume alikuwa na kisukari so akapata na problems hiyo ya low sperms count si a kaenda agakhan eti wakatoa sperm za jamaa wakamwagia kwa mke then akalala chali kwa dk15 kweli kitu kikatiki
Kuna watu wana sperm Kali sana kuna mdada alipata mimba swimming pool ,mwingine alitumia taulo la baba yake tena binti ndo alikuwa ana mwezi tu kuvunja ungo
 
Sio lazima Nairobi hata hapa dar
Ila bongo wazushi sana sio wa kuamini kiivo unaweza kupoteza hela bure
Wale wahindi bado sana

Kumbe mkuu unajua wazi kuwa hapa bongo ni kibongobongo tu sio. Basi Nairobi ndio wenyewe. Bongo waweza hata kukuwekea mjusi
 
Basi Raisi wa "daslum" angefanikisha yote yeye katika aliye Nairobaa.

Kama inawesa ambia yeye lakini mimi nasauri uyu mutu akuje pande ii atarudi kwao na anakuwa mujamusito tiyari. Lakini, lasima ikuje yote mbili yaani uyo munye iyo mbegu afifu na uyo munye iyo yai pefu tiyari
 
Kama inawesa ambia yeye lakini mimi nasauri uyu mutu akuje pande ii atarudi kwao na anakuwa mujamusito tiyari. Lakini, lasima ikuje yote mbili yaani uyo munye iyo mbegu afifu na uyo munye iyo yai pefu tiyari
Hii nayo ni lugha gani sasa maana kwenye kamusi haipo
 
Ila kiukweli ugumba kwa wanaume una embarrassed sana wachache sana huku nalia a na hali hiyo wengi hupata stress
 
Back
Top Bottom