Recent content by Korro

  1. Korro

    Dkt. Hamis Kigwangalla achukua fomu ya kugombea Unaibu Spika

    Kigwangalla ni Ndugai mwingine. Mtu ukitaka kumjua vizuri mpe madaraka. Ripoti ya CAG ilionyesha ubadhirifu mkubwa alivyokuwa Waziri wa maliasili na utalii. Akagombana na katibu mkuu wake mpaka Magufuli akawatishia kuwatumbua. Akawapigisha push-up maaskari wa maliasili halafu kila kukicha...
  2. Korro

    Hivi kwanini upulizie pafyumu nyingi hadi ukiwa umbali wa mita 100 wengine waisikie?

    Waambie wanakusikia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  3. Korro

    Morgan Freeman turns 84 today

    84 and still relevant in the movie industry. He’s simply one of the best Hollywood actors. Happy birthday to him.
  4. Korro

    GE2020 Zitto Kabwe apoteza jimbo la Kigoma Mjini

    Jamani tuwapongeze CCM lakini. Wanajua sana kuiba kura. Wanaiba kiufundi kweli. Mimi ninawafanananisha na jinsi mwanademokrasia mwenzao hayati Sadaam Hussein alivyokuwa anashinda uchaguzi huko Iraq kwa asilimia 99.9%. Well done CCM. Nadhani Polepole atapata deal ya kualikwa nchi zingine...
  5. Korro

    Kati ya Professor na Dr (phD) nani zaidi

    Ninavyoelewa mimi, Professor ni ngazi ya juu kabisa ya ualimu katika chuo kikuu. Unaweza ukawa na PhD lakini usiwe Professor. Professor unatunukiwa ukiwa mwalimu wa chuo kikuu lakini mtu unaweza ukasoma PhD halafu bado ukawa lecturer chuoni au ukafanya kazi yoyote nyingine ambayo siyo ya ualimu...
  6. Korro

    Njooni tujifunze Kingereza kwa kuandika na kuongea

    Try to read books especially novels and also watch movies. That will help you to become more fluent in speaking English. Another thing to do is to try to be in an environment where you are constantly speaking and listening to English. That will also help in mastering the English language. Huo...
  7. Korro

    Hivi kushinda uchaguzi wowote kwa sasa ukiwa mpinzani ni sawa sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano?

    Tanzania tumeshakuwa banana republic. Ni nchi inayoongozwa kimizrngwe mizengwe. Kama taifa linashindwa kufuata taratibu na sheria za nchi kwa mujibu wa katiba yake then were doomed as a nation. Uchaguzi huru na haki ni vitu vya msingi sana kwenye taifa lolote na ni mambo muhimu sana. Sasa kama...
  8. Korro

    Mwaka 2020, Rais Magufuli atayarudisha 80% ya majimbo ya upinzani CCM. Mgombea urais wa upinzani kuambulia aibu ya kihistoria

    Hata Saadam Hussein alikuwa anapata asilimia 99% ya kura zote zilizokuwa zinapigwa wakati wa uchaguzi nchini Iraq. Nchi isipokuwa na demokrasia ya kweli na chaguzi zake siyo huru na haki huwezi kutegemea wapinzani kuambulia chochote. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Korro

    Spika Ndugai: Bunge limeazimia kutofanya kazi na Profesa Mussa Assad si ofisi ya CAG. Ripoti itasomwa endapo haijasainiwa na Prof. Assad

    Wanajaribu kumshinikiza Professor Assad ajiuzulu. Mimi ningekuwa Professor Assad ningeendelea kuchapa kazi tu pamoja na kusaini hizo report za ukaguzi wa matumizi ya fedha na kama bunge hawataki kuijadili taarifa hiyo shauri yao ili mradi ametekeleza wajibu wake. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Korro

    Prof. Kabudi adai kwa USA na UK kukwepa kodi ni kosa kubwa kuliko kuua. Je, ni kweli?

    Huyu professor anapenda ku exaggerate sana. Hakuna kitu kama hicho. Mauaji ni kosa kubwa mno kuliko kukwepa kodi. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Korro

    Kwanini wahamiaji wa Ethiopia wanaokamatwa Tanzania hushikiliwa magerezani kama wafungwa?

    Nilishawahi kwenda Botswana kwa gari. Tulivyofika Nankonde Zambia pale mpakani na Tunduma ilibidi tumwone afisa wa uhamiaji wa Zambia tuulizwe tunaenda wapi na madhumuni yetu ya kuingia (kupita) Zambia ni nini, vivyo hivyo Zimbabwe tulihojiwa na hata Botswana. Huwezi kuingia au kupita kwenye...
  12. Korro

    Kwanini wahamiaji wa Ethiopia wanaokamatwa Tanzania hushikiliwa magerezani kama wafungwa?

    Hawa Waethiopia wengi wao ni economic migrants. Wanatafuta maisha na siyo wakimbizi. Wengi wao lengo ni kufika South Africa ili watafute maisha. Sasa wanakamatwa Tanzania kwa kosa la kuingia nchini bila kibali na kwa kutokufuata sheria za uhamiaji. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Korro

    Imefika wakati sasa Rais anahitaji kufanya interview na chombo cha habari kinachoaminika ili kuweka wazi masuala mbalimbali ya kitaifa

    Tangia Rais wetu mpendwa John Pombe Magufuli aingie madarakani sijasikia akifanya mahojiano ya moja kwa moja na chombo chochote cha habari chenye credibility kufafanua masuala mbali mbali ya kitaifa. Ninakumbuka tu kulikuwa na press conference ilyofanyika ikulu ambao waandishi wa habari...
  14. Korro

    Taja jina la movie ulioitazama zaidi ya mara 5 lakini bado hujaichoka

    Glory The fugitive The untouchables
Back
Top Bottom