Recent content by Konzi

  1. K

    Kioo cha PC aina ya ACER kimevujia wino. Naweza kusafishiwa kikawa safi au hadi niweke kingine?

    Habari zenu wakuu kioo changu cha PC kimevujia wino naweza kusafishiwa kioo kikawa safi au kunaulazima wa kununua kingine, msaada tafadhali
  2. K

    If you want to enjoy love, fake it..

    Bora ku-fake aisee maana niliyoyashuhudia sio poa, jambo la msingi usiwe serious sana kwenye haya mambo
  3. K

    St. Augustine university of Tanzania (SAUT), main campus malimbe Mwanza special thread.

    Samahani wana SAUT hivi kwa mfano MTU umeshindwa kufanya mitihani then ukaomba special lakini ada haikupatikana kwa wakati muafaka je? Unaruhusiwa kuendelea na mwaka unaofata kwa mfano mwaka wa pili kwenda wa tatu ukaendelea mwaka wa tatu then ukaja kuifanya hiyo mitihani baadae? Msaada tafadhali
  4. K

    Msaada kuhusu swala hili kwa mwanafunzi wa chuo

    Vipi kwa vyuo vya private kama St Augustine University na vingine?
  5. K

    Msaada kuhusu swala hili kwa mwanafunzi wa chuo

    Habari zenu wakuu poleni na majukumu. Ivi ikitokea mwanachuo akakosa kufanya mitihani kwa kukosa ada then akaomba kufanya mitihani ya special lakini akashindwa kutokana na tatizo la kukosa ada tena!! Je anaweza kuendelea na mwaka unaofata wa masomo then akaja kuifanya iyo mitihani baadae...
  6. K

    Kaburi la Jokate Mwegelo na Musa Kipanya lafufuliwa

    Walisoma wote st Anthonys mbagala enzi izo
  7. K

    Hatimaye haki imetendeka. Je, nawezaje kudai fidia kwa fedheha niliyosababishiwa?

    fungua kesi ya madai kwa kukuharibia reputation yako especially kuna kitu kinaitwa defamation in tort then utapata haki yako
  8. K

    Ushuhuda: Wasichana wanaouthamini usichana wao na kujitunza wapo aisee!

    Aisee safi mzee!!! Kupata mtoto mbichi kama uyo!! Maana hii dunia ya leo manzi akijua ni mzur tu bac ndo inakuwa mtaji!!!!!!!!!!!
  9. K

    Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Naomba msaada mwenye sample ya cautioned statement na complainant or witness statement anitumie kwa PDF nitashukuru
  10. K

    Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Naomba msaada mwenye sample ya cautioned statement na complainant or witness statement anitumie kwa PDF nitashukuru
  11. K

    Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Msaada na mawazo yenu kwenye hip scenario hapo juu
  12. K

    Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Pamela a niece to Adam discussed buying a Camera from her Uncle.She offered to purchase the camera and said that "if I don't hear from you by the weekend I will consider the camera mine " she didn't actually hear from her unle. The camera was then sold by mistake by one of the sales men employed...
Back
Top Bottom