Msaada kuhusu swala hili kwa mwanafunzi wa chuo

Msaada kuhusu swala hili kwa mwanafunzi wa chuo

Konzi

Member
Joined
Sep 28, 2017
Posts
21
Reaction score
6
Habari zenu wakuu poleni na majukumu. Ivi ikitokea mwanachuo akakosa kufanya mitihani kwa kukosa ada then akaomba kufanya mitihani ya special lakini akashindwa kutokana na tatizo la kukosa ada tena!! Je anaweza kuendelea na mwaka unaofata wa masomo then akaja kuifanya iyo mitihani baadae especially MTU uyo akiwa ajafanya pepa za semester ya pili mwaka wa pili aingie mwaka wa tatu then aje kufanya mitihani hiyo baadae? Msaada tafadhali
 
Hapana haiwezekan mkuu...
Ukiingia mwaka wa pili means umeshapass mwaka wa kwanza na confirmation kama umepass au la ni kufaul mitihan...
Swala la Ada kama linasumbua tena mtafute academic advisor wako atakushaur nn cha kufanya au mtafute Dean of students ukamueleze atakuambia nini cha kufanya. Lkn swala la kuingia mwaka wa pil wakat hujapass pepa za mwaka wa kwanza haiwezekan boss.
 
Kwa uelewa wangu hatoruhusiwa mpaka pale anapokua na matokeo ya semister zote so ningumu kuendelea.
 
System ya udom haitambui kama una ada or not yenyewe inatambua matokeo ya mwaka mzima LA sivyo you discontinued
 
System ya udom haitambui kama una ada or not yenyewe inatambua matokeo ya mwaka mzima LA sivyo you discontinued
Vipi kwa vyuo vya private kama St Augustine University na vingine?
 
Back
Top Bottom