Wakianzisha chama hapo ndipo utaona viwango vya usaliti vinavyotofautiana...lazima wasalitiane wenyewe kwa wenyewe...Halafu Lukosi hukuhama CDM bali ulifukuzwa
ZZK ni mwanasiasa wa upinzani anayeungwa na kutetewa sana na wanaCCM. Mbaya zaidi wanaionea huruma CDM kwa kumuondoa huyu jamaa kwenye nafasi za uongozi wakihofia kuwa chama hiki kitasambaratika na kufa kabisa endapo atafukuzwa katika chama. nikirejea kipindi cha huko kuna waziri mmoja katika...
Nafikiri Mandela anastahili sana heshima hii japo mtoa mada anaonekana haijui vizuri historia ya SA na Mandela mwenyewe. kilichopelekea NM kufungwa ni kutokana na kupambana dhidi ya ukoloni na ubaguzi wa rangi kwa ujumla. mtakuwa mmefanya kosa kubwa la kihistoria kumu-underrate NM.huyu jamaa ni...
kama umeisoma historia vizuri huwezi ukatoa comment ya kipuuzi namna hii...Mwinyi alipokea nchi kutoka kwa Mwalimu baada ya vita ya Uganda na Tz. Historia inaonyesha jinsi vita hii ilivyoigharimu nchi na kuharibu uchumi. kwani Mwinyi alipoondoka aliacha nini?Fikiri vizuri
hizi propaganda zimekosa mashiko, hata sisi tusio na vyama hatuziamini, mnakosa usingizi bure. Chama chenu kinafaidisha watu wachache ndio maana mtazidi kuchukiwa tu.
mashabiki wakubwa wa hii ishu ni wanaCCM wasiowatakia mema ninyi CDM...sio kwamba mnapendwa sana ila wanafanya hivi kuwavuruga...cha msingi ninyi wenyewe muangalie the best way ya kusolve hii ishu otherwise hawa jamaa wanafurahia. Jamaa alishakiri kuwa ana makosa, cha msingi asikilizwe kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.