UNAFIKI unatawala Bavicha...

Status
Not open for further replies.
Chadema kimejimaliza na kinaonesha ni jinsi gani viongozi wake wakuu na washauri wao wamepungukiwa na busara Nilikitegemea sana chama hiki kuleta mabadiliko ya kweli lakini kwa mwendo huu imani hiyo imepungua sana. Mie sijui tusubiri tuone watakavyojitoa katika mporomoko huu

Watu wengi wamekata tamaa. Hasa waliposikia kuwa Chadema walitaka watonywe ili warekebishe mahesabu!

Watu werevu wameshaanza kuachana na Chadema mmoja baaada ya mwingine.
 
kumpeleleza mtu wewe kama sio afisa ambaye kwa mujibu wa sheria una mamlaka hayo ni KOSA LA JINAI,so far huwezi ukawa una spy kwa manufaa ya katibu mkuu,wewe utakua huna tofauti na mchonganishi kwa sababu always utapeleka habari ambazo zinam favor boss wako wa saccoss

hili ni jukwaa la heshimu, tafadhali kuweka kumbukumbu sawa ,ebu taja sheria ipi iliyoridhiwa kuwa ku spy ni kosa la jinai?utakuwa umetusaidia wanajamvi ili tusiongee kama tuko bafuni....asante...
 
Dr Slaa amesema suala la zitto na CDM limefugwa sasa tuongelee suala la rasilimali zetu kama gesi, Umeme kupanda, hali mbaya ya maisha na wizi wa mali , wabakaji kama yle mbunge wa huko Tabora. kwahiyo tusubiri siku 14 tusikilizie maamuzi magumu ya CC

nimegundua wewe ni Ben saa eiti unatumia jina la kike, maana mwandiko Wako ndo ule ule wa kulala...pole kwa kujifanya mwanadada, jibu hoja hapo mbeba sumu na kuwadi wa babu,
 
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai.

Miezi kadhaa iliyopita jumuiya ya vijana ya Chadema, Bavicha, ilitangaza kumvua uongozi na kumfukuza uanachama aliyekuwa makamu mwenyekiti wa jumuiya hiyo Bi. Juliana Shonza. Kosa lake lilitangazwa kuwa ni "usaliti".

Aliyefichua "usaliti" huo ni Ben Saanane a.k.a Mida Eight ambaye alielezwa kuwa alipewa kazi maalum ya kuspy vijana wenzake.

Katika katiba na kanuni za chama HAKUNA kazi hii ya uspy aliyopewa Ben Saanane.

Vijana wengi wa bavicha hasa hapa JF walimpongeza Ben Saanane na kumuona shujaa. Mpaka leo uspy huo alioufanya Ben Saanane ndio jambo pekee linalomfanya aonekane insider wa Chadema.

Mkakati wa siri wa kumpa Ben Saanane kazi ya kuspy ndani ya chama haukuhusisha vikao halali vya chama. Ndio maana viongozi wakuu wa Chama na wajumbe wa Kamati Kuu hawakuwa na taarifa yoyote juu ya kazi hii ya Ben Saanane. Hii ilikuwa ni kazi binafsi ya Dr. Slaa. Ben Saanane alikiri kwenye kikao halali cha Bavicha kuwa alifanya kazi ya uspy na kikao hicho kikampongeza kwa kazi nzuri!

Ni UNAFIKI wa hali ya juu kuona vijana waliounga mkono uwepo wa mikakati ya siri ya Dr. Slaa kumtumia Ben Saanane wakipinga mwanazuoni Dr. Kitila Mkumbo kuwa na mikakati ya siri.

Je, kuna mtu mwenye hati miliki ya mikakati ya siri ndani ya Chadema?

Jumuiya ya vijana katika chama chochote ndio nguzo na dira ya chama. Unafiki huu unaotawala Bavicha unadhihirisha kuwa Chadema sasa haina dira na nguyo yake imeliwa na mchwa.

Ufafanuzi kwenye bold, au ndo divisheni 5 !?
 
Watu wengi wamekata tamaa. Hasa waliposikia kuwa Chadema walitaka watonywe ili warekebishe mahesabu!

Watu werevu wameshaanza kuachana na Chadema mmoja baaada ya mwingine.


Kwanza geuka nyuma angalia chama chako ccm na madhila kwa raia wasio na makosa

Tuambie nini kilitokea baada ya Ramadhani Ighondu kumjeruhi Dakitari bwana Ulimboka

1. Ramadani yuko wapi na Bwana Pinda na Nchimbi walisema nini kuhusu usalama wa Taifa nanini kilitokea

2. Gazeti la mwanahalisi likowapi baada ya kuchapisha mtiririko mzima wa madhambi ya Rama Ighondu kwa ulimboka?

3. Nini maana ya neno upelelezi kwa chama au Taifa............

i) kuathiri chama kwa kukiendeleza (+ve impact)

ii) kuathiri chama kwa kukiangamiza (-ve impact)

Ukinijibu haya tutaendelea kujadili hoja yako
 
Watu wengi wamekata tamaa. Hasa waliposikia kuwa Chadema walitaka watonywe ili warekebishe mahesabu!

Watu werevu wameshaanza kuachana na Chadema mmoja baaada ya mwingine.

wengi tu walishaachana nao kimya kimya...ila kinachowashangaza wananchi ni kuwa wasemaji wa mgogoro huo majukwaani ni waandamizi wa ccm eg nape, nchemba na masalia.

Kwenye mtandao ni id kama izi, ff, ritz, ze marcop...
sasa sisi wasomaji mara nyingi tunajiuliza, ivi kwa nini chadema wafukuze watendaji mahiri na ccm inune badala ya kushangilia kuwa sasa wanapeta kirahisi...hapa kila mtu anaona kuwa ccm wanaona unafuu sasa unaenda ukingoni...
NDO MAANA WATU MAKINI WALA HAWAANGAIKI, WANACHORA TU CCM WANAVOANGAIKA KUWANUSURU WANACHADEMA WANAOWATAKA...KWA MTINDO HUU MZEE WASSIRA , KWELI CDM ITAKUFA KABLA YA 2014 AU BAADA??
Sijapenda kufukuzana , na sipingi kamati kuu ya chadema ila mshangao wa uku uraiani watu wanajiuliza kwa nini ccm na akina nchemba , nape na ze marcopolo. simiyu,first lad woooote wanalia lia....I HAVE THE IDEA IT IS OVER!
 
hili ni jukwaa la heshimu, tafadhali kuweka kumbukumbu sawa ,ebu taja sheria ipi iliyoridhiwa kuwa ku spy ni kosa la jinai?utakuwa umetusaidia wanajamvi ili tusiongee kama tuko bafuni....asante...

Je, unaunga mkono uspy wa Ben Saanane?
 
Ni kweli anchosema Zemacopolo- USHAHIDI UNAOKUSANYWA KINYUME CHA SHERIA ZA NCHI NI USHAHIDI USIOKUBALIKA, NA KATIKA HILI CHADEMA INAWEZA KUJIKUTA MATATANI KWA KUWA NA VIKUNDI VYA SIRI VYA KIJASUSI.

JE HICHO KIKUNDI CHA SIRI KILIUNDWA KWA MUJIBU WA KANUNI GANI YA CHAMA?.
KAMA HICHO KIKUNDI KILIKUWA NA NIA NJEMA MBONA BASI VIONGOZI WENGINE WALIFICHWA?
 
Kwanza geuka nyuma angalia chama chako ccm na madhila kwa raia wasio na makosa

Tuambie nini kilitokea baada ya Ramadhani Ighondu kumjeruhi Dakitari bwana Ulimboka

1. Ramadani yuko wapi na Bwana Pinda na Nchimbi walisema nini kuhusu usalama wa Taifa nanini kilitokea

2. Gazeti la mwanahalisi likowapi baada ya kuchapisha mtiririko mzima wa madhambi ya Rama Ighondu kwa ulimboka?

3. Nini maana ya neno upelelezi kwa chama au Taifa............

i) kuathiri chama kwa kukiendeleza (+ve impact)

ii) kuathiri chama kwa kukiangamiza (-ve impact)

Ukinijibu haya tutaendelea kujadili hoja yako

Umemuuliza maswali ya msingi, sasa subiri mipasho...!
 
wengi tu walishaachana nao kimya kimya...ila kinachowashangaza wananchi ni kuwa wasemaji wa mgogoro huo majukwaani ni waandamizi wa ccm eg nape, nchemba na masalia.

Kwenye mtandao ni id kama izi, ff, ritz, ze marcop...
sasa sisi wasomaji mara nyingi tunajiuliza, ivi kwa nini chadema wafukuze watendaji mahiri na ccm inune badala ya kushangilia kuwa sasa wanapeta kirahisi...hapa kila mtu anaona kuwa ccm wanaona unafuu sasa unaenda ukingoni...
NDO MAANA WATU MAKINI WALA HAWAANGAIKI, WANACHORA TU CCM WANAVOANGAIKA KUWANUSURU WANACHADEMA WANAOWATAKA...KWA MTINDO HUU MZEE WASSIRA , KWELI CDM ITAKUFA KABLA YA 2014 AU BAADA??
Sijapenda kufukuzana , na sipingi kamati kuu ya chadema ila mshangao wa uku uraiani watu wanajiuliza kwa nini ccm na akina nchemba , nape na ze marcopolo. simiyu,first lad woooote wanalia lia....I HAVE THE IDEA IT IS OVER!

CCM ndiyo iliyoanzisha mfumo wa vyama vingi nchini. Ndio maana CCM inapenda kuona vyama vya upinzani vinakomaa na kuwa na demokrasia ya kweli.

CCM haijaruhusu mfumo wa vyama vingi uwepo nchini ili wajitokeze maAyatollah watakaokuwa wanatumia watu kama mtaji wa kibiashara. Ndio maana CCM iko macho kuhakikisha ulaghai wa Chadema hauendelei.

CC THE BIG SHOW
 
Last edited by a moderator:
Kwanza geuka nyuma angalia chama chako ccm na madhila kwa raia wasio na makosa

Tuambie nini kilitokea baada ya Ramadhani Ighondu kumjeruhi Dakitari bwana Ulimboka

1. Ramadani yuko wapi na Bwana Pinda na Nchimbi walisema nini kuhusu usalama wa Taifa nanini kilitokea

2. Gazeti la mwanahalisi likowapi baada ya kuchapisha mtiririko mzima wa madhambi ya Rama Ighondu kwa ulimboka?

3. Nini maana ya neno upelelezi kwa chama au Taifa............

i) kuathiri chama kwa kukiendeleza (+ve impact)

ii) kuathiri chama kwa kukiangamiza (-ve impact)

Ukinijibu haya tutaendelea kujadili hoja yako

Uko nje ya hoja.

Tunajadili unafiki wa bavicha kuunga mkono mikakati ya siri ya Dr. Slaa na kuipinga mikakati ya siri ya mwanazuoni Kitila...
 
1424452_10153520600210273_239004554_n.jpg


Unadhani ni kweli Katibu mkuu wa CCM anajua hii kazi au ndio TUNADANGANYWA ili tuone wana uwezo wa kuongoza????Funguka kistaarabu

Ina uhusiano gani na mada hii?
 
nimegundua wewe ni Ben saa eiti unatumia jina la kike, maana mwandiko Wako ndo ule ule wa kulala...pole kwa kujifanya mwanadada, jibu hoja hapo mbeba sumu na kuwadi wa babu,

Ah ah ah , ndugu una vituko?kumbe uyu ni beni anatuzuga sio?ila hii ID ipo tangu mwaka 2004 wakati lissu akiwa mwanaharakati anawasumbua Ben Mkapa na Mh rais wa marekani Bush. Ebu rejea ile ya Ben Mkapa+Bush Vs Lissu(lawyer).
Uyu mtu alikuwa akipost sana yanayojili utadhani ni mwandishi wa kujitegemea. Kama ni beni duh, Beni shikamoo!Maana umetoka mbali...ila mmhhh wewe umejuaje kama ni beni?mbona wewe unaandika kama kingunge ngombale ila watu hawaja ku name call???ebu fafanua
 
dr. Slaa hata ule mjadala wa ufisadi alioufanya kwenye halmashauri kule Karatu kwenye mradi wa maji alisema umefungwa.

Kufunga mijadala ndio njia pekee ya Slaa kukimbia uwajibikaji. Mtu kama huyu HAFAI kuwa Rais wa nchi, ndio maana Mungu aliwaongoza watanzania wasimchague...

Slaa anawauma wanaCCM duh...!
 
Dr Slaa amesema suala la zitto na CDM limefugwa sasa tuongelee suala la rasilimali zetu kama gesi, Umeme kupanda, hali mbaya ya maisha na wizi wa mali , wabakaji kama yle mbunge wa huko Tabora. kwahiyo tusubiri siku 14 tusikilizie maamuzi magumu ya CC

"Mida Eight anatumiwa na Dr. Slaa kugombanisha viongozi" - waraka
 
Maziwa yanatolewa na ng´ombe, lakini ukienda kuulizia maziwa buchani watu watakushangaa.

lazima wakushangae maana ng'ombe haijawahi kutokea akawa buchani, uwa tunakutana na nyama tu either ya mbuzi, wanyapori,nyama ya ng'ombe , nk Ukitaka maziwa nenda kwa mkamuaji au muuza maziwa....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom