ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,019
- 7,223
- Thread starter
- #21
Chadema kimejimaliza na kinaonesha ni jinsi gani viongozi wake wakuu na washauri wao wamepungukiwa na busara Nilikitegemea sana chama hiki kuleta mabadiliko ya kweli lakini kwa mwendo huu imani hiyo imepungua sana. Mie sijui tusubiri tuone watakavyojitoa katika mporomoko huu
Watu wengi wamekata tamaa. Hasa waliposikia kuwa Chadema walitaka watonywe ili warekebishe mahesabu!
Watu werevu wameshaanza kuachana na Chadema mmoja baaada ya mwingine.