Mnyika: The majority Political Dream

Mnyika: The majority Political Dream

mnyika ni mwanasiasa mwenye uwezo mkubwa sana,hana majivuno,msikivu na makini.sio muoga il a anaheshimu viongozi wenzake na katiba ya chama.atafika mbali sana kisiasa.uenyekiti wa chama utamfuata bila kuupigania kama jinsi urais wa Tanzania unavyomfuata Dr Slaa bila kulazimisha
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Nimefurahi uliibua hoja hii ambayo inamwonyesha Mnyika akiwa na hoja huipeleka Hadi mwisho, bila woga wowote. Tofauti na wale watatu ambao mmoja Zitto alikuwa anazidi cheo badala ya kujadili madhaifu ya chama ndani ya kikao wanajifungia ofisi za serikali DUCE kuandika issues ambazo zingewezwa kujadiliwa kwenye vikao, hata Kama ni kuchomekea Kama mengineyo.

John ni jasiri lakini mwenye he kima na heshima!

Huwa napenda sana nimjue huyu kijana asili yake maana naujasili wa kutosha
 
umenielimisha zaidi,kwa uwezo wake kisiasa na kimaadili na anavyokubalika basi jama mwingine angeleta vurugu cdm.mungu awe nae.
 
ndo mana nataka mnyika awe mwenyekti wa chama changu nikachoanzisha mapema mwaka huu
kwani ni shupavu na jasiri na hana mpinzani kabisa
bila kuathiri ushabiki wa vyama na uanachama,ni lazima niseme mnyika hana mpinzani kuwa ni kijana ambaye kwa wafuasi wa vyama basi ni ndoto ya wengi na mkomboz.japo yy si mwepesi kujikubali lakini tunamwambia yy ni mkombozi wa umma.in future mnyika is gonna win politics coz;
-hana tamaa
-hana kashifa
-mtambuzi na mchambuzi wa mambo
-anaijua siasa
-hajikwezi
-anathamn watu
-mtana shati

we prau for you Mnyika and CDM.
 
mnyika anajua umuhimu wakuheshimu viongozi wake harafu kingine jamani ladhima mjue kabisa muda alioishi mnyika hapa bongo ni mkubwa so sio mgeni wa jiji,,,,sasa kuna wengine shule ndio iliwaleta hapa hilo ni tatizo kubwa sana ama mjue mAskini akipata makalio huota mbatata
 
Mnyika anaweza maana anajua umuhimu wake and anajua kuwa mwenyekiti ama katibu wa chama si mtu wakumbeza nakumkebehi,,,,,,,,
 
bila kuathiri ushabiki wa vyama na uanachama,ni lazima niseme mnyika hana mpinzani kuwa ni kijana ambaye kwa wafuasi wa vyama basi ni ndoto ya wengi na mkomboz.japo yy si mwepesi kujikubali lakini tunamwambia yy ni mkombozi wa umma.in future mnyika is gonna win politics coz;
-hana tamaa
-hana kashifa
-mtambuzi na mchambuzi wa mambo
-anaijua siasa
-hajikwezi
-anathamn watu
-mtana shati

we prau for you mnyika and cdm.

msukule wa mbowe na slaa
 
Nimeipenda hiyo ungekua karibu ningekupa hata kibana kadhaa wakuburudishe
 
Ni mwana harakati zaidi kuliko kiongozi!!!!!!!
Ameongoza/ anaongoza nini so far!!!???

Kama mnamoenda mshaurini akasome kwanza maana yeye umri wake mdogo sasa siasa za huko tuendako
hakuna maneno tupu!!!!!!

Vipaji na elimu pamoja hii kusema tumpe sababu ana hili na lile itafikia mwisho!!!!
 
bila kuathiri ushabiki wa vyama na uanachama,ni lazima niseme mnyika hana mpinzani kuwa ni kijana ambaye kwa wafuasi wa vyama basi ni ndoto ya wengi na mkomboz.japo yy si mwepesi kujikubali lakini tunamwambia yy ni mkombozi wa umma.in future mnyika is gonna win politics coz;
-hana tamaa
-hana kashifa
-mtambuzi na mchambuzi wa mambo
-anaijua siasa
-hajikwezi
-anathamn watu
-mtana shati

we prau for you Mnyika and CDM.

Ni mtatuzi wa matatizo ya wananchi wake.
 
bila kuathiri ushabiki wa vyama na uanachama,ni lazima niseme mnyika hana mpinzani kuwa ni kijana ambaye kwa wafuasi wa vyama basi ni ndoto ya wengi na mkomboz.japo yy si mwepesi kujikubali lakini tunamwambia yy ni mkombozi wa umma.in future mnyika is gonna win politics coz;
-hana tamaa
-hana kashifa
-mtambuzi na mchambuzi wa mambo
-anaijua siasa
-hajikwezi
-anathamn watu
-mtana shati

we prau for you Mnyika and CDM.

Siku hizi Wachambuzi wa Kisiasa mmekuwa wengi sana...........Yaani unaandika kabisa hana mpinzani halafu unaweka sifa ya ''UTANASHATI''.........Halafu unakosea sana, kashifa ni nini?mtana shati ilipaswa kuwa mtanashati nadhani ''prau'' ulimaanisha pray..

Mnyika ana sifa zake nzuri ila wewe jinsi ulivyoweka hii post unamharibia Mh.Mnyika.

Pia ukitaka kumchambua mtu mbele za watu angalia pande zote mbili...
 
Yap, hata maccm nimewasikia wakimsifu kwa dhati...Werema alimfananisha na Nyerere, Anna Abdalah anasaidia sana bungeni ! walimsifia Live ktk TV! Sio hizi sifa za Zitto kusifiwa na maCCM kwakusaliti chama!
 
ataendelea kua mzuri mpaka pale atapoenda kinyume na maagizo ya mbowe na slaa ndipo ataitwa mhain,,,
to me!,,,he z jst a coward,,,,anapelekwa hajielew!
hebu na wewe ingia kwenye siasa tuone ujasiri wako...acheni wivu wa kike
 
Back
Top Bottom