. Nime sleep nayo ngoma hii mpaka asbuh hii na sasa ndo nimetoka kuirejesha kwake.
Chai Nzito ya Maziwa hiyo
Utamrudishaje kwake wakati mmeiba
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh ! Asilimia kubwa sana waliochangia inaonyesha hawajawahi kuomba mkopo kwa Rafiki ila wameombwa wao tu MEMBERS WA JAMII FORUM OYEE!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unazo na nafasi ya hela ipo na umemsoma Vizuri shughuli anayoenda kufanya mkopeshe tu Ndio urafiki wenyewe maana Hamna Formula kuwa lazima Hatalipa na utapoteza rafiki wewe mwenyewe huna mkataba kuwa hamma siku hutahitaji msaada kwa marafiki na sio kwamba lazima kuwa utasaidiwa na huyo huyo...
Biashara ya Kuweka Stock ya Mahindi haitabiriki Kuna Mwaka itakiwa Nzuri na kuna Mwaka inakuwa sio Nzuri sana ila kukukata sio rahisi kama hukuwa mzembe ,inatakiwa ukae ktk biashara hiyo ili Mazuri yakukute pia Mwaka mbaya uwe changamoto kwako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Samaki Ni White Gold Ndio maana imefichwa na Shombo achana na hizo biashara wa Majina uta Grow baada ya Muda utapaata wazo na uwezo wa kuwa na Truck kubwa ya kubeba Samaki
Sent using Jamii Forums mobile app
Alichoma sana mihogo mpaka akaja kuwa don pale soko la vyakula Mabibo.
Upande wangu naona mjini hutakiwi uwe mvivu na kuchagua kazi
Hii kazi ya Mihogo imewatoa wengi waliokuwa na juhudi nayo na kuifanya Muda mrefu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.