Mmiliki wa club laazizi dodoma afariki

lebara

JF-Expert Member
Jul 9, 2013
646
836
Kwa wale wenyeji wa dodoma mnaifahamu club la azizi iliyopo makole. Mmiliki wa club hiyo kafariki leo. Huyu bwana alikuwa maarufu sana kwa mambo mengi ikiwamo ya warembo. Basi na apumzike pale alipojiandalia akiwa hai.
 
Pole kwa wote walioguswa na msiba huu......
Mkuu ungetuwekea na picha yake ya enzi za uhai wake japo tumuone tuu
 
Back
Top Bottom