Ukitaka ukosane na rafiki omba akukopeshe fedha...

Ukitaka ukosane na rafiki omba akukopeshe fedha...

Ukitaka ukosane na rafiki omba akukopeshe fedha..
Siku mbili tatu zilizopita nilipata changamoto kidogo za kiuchumi,kutokana na mambo ya ujenzi....wajuzi wanasema zege hali lali,nikajishauri nikaona ngoja niombe fedha ya dharura kwa marafiki zangu.Majadiliano yakawa hivi:-
Mimi: mambo vipi mkuu?naomba unisaidie kiasi fulani cha dharura by alhamisi nitakurudishia hata kwa riba.
Rafiki 1: Sawa haina shida kaka nitakucheki baadaye
Baada ya hapo kimya,ukimpigia simu hapokei
Rafiki 2: Ok nitakupatia kesho
Kesho inafika kimya,ukimpigia simu hapokei
Rafiki 3: Siko vizuri kiuchumi,biashara zimesimama kaka
Bora huyu alikuwa muwazi na nilimuelewa
Rafiki 4 : Siko vizuri kaka,nitakupatia nusu yake
Mimi: Nashukuru nilikuwa naitaji full

Kutokana na hali hiyo,nilichoweza kujifunza ili usikosane na rafiki yako inabidi mahusiano yenu yasihusu mambo ya fedha.
Acha kulaumu wengine kwa matatizo yako, wzngi ni wahanga wa watu kutokulipa deni, mimi mwenyewe ni ngumu sana kumdai mtu. Unamkopesha mtu halafu kurudisha inakua ligi, binafsi nimeashaacha kukopesha kabisa na mimi sikopi labda nikope bank tu. Na penyewe najipanga kuzuia hiyo hali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kulaumu wengine kwa matatizo yako, wzngi ni wahanga wa watu kutokulipa deni, mimi mwenyewe ni ngumu sana kumdai mtu. Unamkopesha mtu halafu kurudisha inakua ligi, binafsi nimeashaacha kukopesha kabisa na mimi sikopi labda nikope bank tu. Na penyewe najipanga kuzuia hiyo hali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Matajiri wote wanakopa mkuu
 
Huko unakoanza wenzako tushapita. Jifunze kuwa na nidhamu. Badala ya kulaumu rafiki zako hawakusaidii jichunguze wewe unakosea wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta mada ndio anajifunza labda baada ya miaka kadhaa ataelewa maana halisi ya maisha. Tumsamehe.
Uaminifu sio kwamba anakua hana kweli ni hana uhakika kama akimpa itarudi kitu ambacho ni kawaida kwasababu uaminifu umepungua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada ndio anajifunza labda baada ya miaka kadhaa ataelewa maana halisi ya maisha. Tumsamehe.
Uaminifu sio kwamba anakua hana kweli ni hana uhakika kama akimpa itarudi kitu ambacho ni kawaida kwasababu uaminifu umepungua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Someni mambo ya 'financial mgt', 'risk mgt' pamoja na 'investment'
 
Kwahiyo wana madeni kwa rafiki zao? Au maclassmates?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikuulize swali,kwa muda huu hapo ulipo umepofuka macho ghafla...na daktari anasema ndani ya dakika 20 unatakiwa uwe umetibiwa lasivyo utakufa;na ili akuhudumie unatakiwa utoe 20,000/= kama huna hupati matibabu.Na kwa bahati mbaya wewe huna,utafanyaje?
 
Nikuulize swali,kwa muda huu hapo ulipo umepofuka macho ghafla...na daktari anasema ndani ya dakika 20 unatakiwa uwe umetibiwa lasivyo utakufa;na ili akuhudumie unatakiwa utoe 20,000/= kama huna hupati matibabu.Na kwa bahati mbaya wewe huna,utafanyaje?
Hivi kama unapesa unashindwaje kuwa na bima ya afya? Huo ni uzembe wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom