Forums
Trending
New Posts
Log in
Register
Style variation
System
Light
Dark
Trending
Search
Search
Search titles only
Note
By:
Latest activity
Register
Our Community
JamiiCheck
FichuaUovu
Stories of Change
Start Discussion
Coming Soon
JamiiCourses
JamiiData
JamiiShop
Premium Content
Regional Communities
Coming Soon
Tanzania
Uganda
Kenya
Rwanda
DRC
Zambia
Zimbabwe
Menu
Log in
Register
Navigation
More options
Style variation
System
Light
Dark
Contact us
Close Menu
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
kobilo
Recent content by kobilo
Rais Magufuli aagiza Askari, Beatrice Mlanzi kupandishwa cheo kwa kuonesha utimilifu katika kazi
Utimilifu katika kazi si ni wajibu wa mfanyakazi? Au mimi ndo sijaelewa. Haya madam Bite kula maisha bana
kobilo
Post #3
Sep 10, 2019
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Rais Magufuli, kwanini haujaenda Japan?
Aende Japan wamshikilie kama Ndege yetu.. We unaumwa nini...
kobilo
Post #107
Aug 29, 2019
Forum:
Jukwaa la Siasa
Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli
Ahsante sana mkuu. Nitafanya hivyo
kobilo
Post #64
Aug 29, 2019
Forum:
JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)
Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli
Mkuu , gari kuwa nzito kuchelewa kuchanganya, yaani ukikanyaga mafuta inakua nzito haikimbii sana. Toyota raum, hii inaweza ikasababishwa na nini?
kobilo
Post #51
Aug 28, 2019
Forum:
JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri)
Yaliyojiri Mahakama Kuu: Mahakama yatupilia mbali mapingamizi ya Serikali dhidi ya Lissu, Shauri la msingi kuendelea kusikilizwa...
Hapana mkuu utakua uko sawa tu.
kobilo
Post #276
Aug 26, 2019
Forum:
Jukwaa la Siasa
Yaliyojiri Mahakama Kuu: Mahakama yatupilia mbali mapingamizi ya Serikali dhidi ya Lissu, Shauri la msingi kuendelea kusikilizwa...
Tuchukulie baba yako ndo angekua kapigwa risasi zaidi ya 16. Wewe ungejisikiaje, halafu unasema haya? Kua na utu mkuu ndugu yangu.
kobilo
Post #210
Aug 26, 2019
Forum:
Jukwaa la Siasa
Kuna Taasisi za Serikali ukiajiriwa ni kama umejisajili kuwa maskini milele
ukiachana na hao wa serikalini kuna jamaa zetu wale wa MUMBAI a.k.a akina PATEL KHUMAR , hawa ukifanya nao kazi kila siku unakua mtu wa madeni.
kobilo
Post #36
Aug 5, 2019
Forum:
Jukwaa la Ajira na Tenda
IFM: Mwalimu Elli Doriye anakera, anaharibu chuo
Hatimaye kala teuzi
kobilo
Post #100
Jul 30, 2019
Forum:
Jukwaa la Elimu (Education Forum)
Sikujua kumbe mi ni Fala Sana...!!!!
Lakini si ulifanikisha kumfikishia boss wako yule mhindi hizo pesa zake zilizokua kwenye begi?
kobilo
Post #11
Jul 25, 2019
Forum:
Mahusiano, mapenzi, urafiki
Machale yamcheza JK , aamua kukagua mashamba yake Dodoma
Acha wote tuisome namba
kobilo
Post #5
Jul 16, 2019
Forum:
Jukwaa la Siasa
ICAP Tanzania,mkoa wa mwanza (misungwi) mjitathimini utendaji wenu.Tumechoka!
Mimi kama Katibu tawala Njombe mwenye dhamana na mkoa wa Mwanza nimesikia na ntalishughulikia hilo
kobilo
Post #2
Jun 10, 2019
Forum:
Jukwaa la Siasa
Mchungaji Anthony Lusekelo aibukia kwa Rais Magufuli aonya makanisa kutumika
Mnafiki tu hana lolote, kwanza hana influence wala impact kwenye society.
kobilo
Post #19
May 29, 2019
Forum:
Jukwaa la Siasa
Nimeibiwa 245,000/= MPESA VODACOM
Swali la msingi ni kwamba kuna uwezekano wa wewe kurudishiwa hela yako au ndo utakua umepigwa?
kobilo
Post #10
May 29, 2019
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Tahadhari ukienda kununua gari show room kuwa makini sana
Sema hili beat lako Jombaa ni zaidi ya Beat by Dre. Nimekubali hili beat Ankali
kobilo
Post #109
May 29, 2019
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
Rais Magufuli afungua barabara ya Nyerere nchini Namibia,. Wanamibia wadai huyu ni Nyerere mwingine
Yaani mtu unachoma kabisa mafuta ya ndege eti kwenda kuzindua barabara/mtaa nje ya nchi? Jamaa hawezi kuwa serious kabisa yaani
kobilo
Post #71
May 28, 2019
Forum:
Jukwaa la Siasa
kobilo
Our Community
JamiiCheck
FichuaUovu
Stories of Change
Start Discussion
Coming Soon
JamiiCourses
JamiiData
JamiiShop
Premium Content
Regional Communities
Coming Soon
Tanzania
Uganda
Kenya
Rwanda
DRC
Zambia
Zimbabwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.
Accept
Learn more…
Back
Top
Bottom
Menu
Forums
New posts
Log in
Register