Recent content by kobilo

  1. kobilo

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aagiza Askari, Beatrice Mlanzi kupandishwa cheo kwa kuonesha utimilifu katika kazi

    Utimilifu katika kazi si ni wajibu wa mfanyakazi? Au mimi ndo sijaelewa. Haya madam Bite kula maisha bana
  2. kobilo

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli, kwanini haujaenda Japan?

    Aende Japan wamshikilie kama Ndege yetu.. We unaumwa nini...
  3. kobilo

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

    Ahsante sana mkuu. Nitafanya hivyo
  4. kobilo

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

    Mkuu , gari kuwa nzito kuchelewa kuchanganya, yaani ukikanyaga mafuta inakua nzito haikimbii sana. Toyota raum, hii inaweza ikasababishwa na nini?
  5. kobilo

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri Mahakama Kuu: Mahakama yatupilia mbali mapingamizi ya Serikali dhidi ya Lissu, Shauri la msingi kuendelea kusikilizwa...

    Tuchukulie baba yako ndo angekua kapigwa risasi zaidi ya 16. Wewe ungejisikiaje, halafu unasema haya? Kua na utu mkuu ndugu yangu.
  6. kobilo

    JamiiForums Tanzania Kuna Taasisi za Serikali ukiajiriwa ni kama umejisajili kuwa maskini milele

    ukiachana na hao wa serikalini kuna jamaa zetu wale wa MUMBAI a.k.a akina PATEL KHUMAR , hawa ukifanya nao kazi kila siku unakua mtu wa madeni.
  7. kobilo

    JamiiForums Tanzania IFM: Mwalimu Elli Doriye anakera, anaharibu chuo

    Hatimaye kala teuzi
  8. kobilo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sikujua kumbe mi ni Fala Sana...!!!!

    Lakini si ulifanikisha kumfikishia boss wako yule mhindi hizo pesa zake zilizokua kwenye begi?
  9. kobilo

    JamiiForums Tanzania Machale yamcheza JK , aamua kukagua mashamba yake Dodoma

    Acha wote tuisome namba
  10. kobilo

    JamiiForums Tanzania ICAP Tanzania,mkoa wa mwanza (misungwi) mjitathimini utendaji wenu.Tumechoka!

    Mimi kama Katibu tawala Njombe mwenye dhamana na mkoa wa Mwanza nimesikia na ntalishughulikia hilo
  11. kobilo

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Anthony Lusekelo aibukia kwa Rais Magufuli aonya makanisa kutumika

    Mnafiki tu hana lolote, kwanza hana influence wala impact kwenye society.
  12. kobilo

    JamiiForums Tanzania Nimeibiwa 245,000/= MPESA VODACOM

    Swali la msingi ni kwamba kuna uwezekano wa wewe kurudishiwa hela yako au ndo utakua umepigwa?
  13. kobilo

    JamiiForums Tanzania Tahadhari ukienda kununua gari show room kuwa makini sana

    Sema hili beat lako Jombaa ni zaidi ya Beat by Dre. Nimekubali hili beat Ankali
  14. kobilo

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli afungua barabara ya Nyerere nchini Namibia,. Wanamibia wadai huyu ni Nyerere mwingine

    Yaani mtu unachoma kabisa mafuta ya ndege eti kwenda kuzindua barabara/mtaa nje ya nchi? Jamaa hawezi kuwa serious kabisa yaani
Back
Top Bottom