Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,348
Akina dada mna unyonge wa kijinga sana. Haya majamaa ni mashamba mashamba flani ivi, wakikutana na akina Diva wa Saluni ndio wanakomaga. Nadhani inabidi muanze kutazama upya mnavyohendo mitongozano, mnachoita rushwa ya ngono na vinginevyo.Unajidai kwa sababu sikukurekodi unapo niomba hiyo rushwa au vipi? You are martied and yet una michepuko chungu mzima kwa wanafunzi hapo chuoni. Anyways, ngoja nikae kimya, namshukuru Mungu sikwenda kwenye guest uliyo niagiza niende ukanitafune na nikachomoa supp.