chambalo kafao
Senior Member
- Feb 8, 2014
- 193
- 209
Ndugu wana jamvi.
Jana saa mbili usiku nimeibiwa shilingi laki mbili na elfu arobaini na tano kwenye namba yangu ya vodacom yenye Mpesa. Fedha zimetolewa kwa wakala, na ujumbe nikaletewa kuwa nimepokea fedha taslimu toka kwa wakala huyo.
Ushahidi huu hapa.
6ES62D6M74W Imethibitishwa tarehe 28/5/19 saa 10:17 PM Pokea kiasi cha Tsh240,000.00 kutoka kwa 430185 - MWANAHAMISI RAJABU ISSA kwa ada ya Tsh5,000.00. Salio lako jipya la M-Pesa ni Tsh675.00.
Cha ajabu ni kuwa muda huo, mimi nilikuwa na simu yangu na sikufanya muamala huu.
Mara moja niliwapigia huduma kwa mteja Mpesa Vodacom ambao wamesema nisubiri masaa 72.
Swali kwa wataalam.
1.Ni nini hasa kimefanyika hadi namba yangu ikatoa fedha nipopajua ilihali simu yangu ninayo?
2. Je nitaweza kupata fedha zangu hizi?
3. Je niendelee kutumia namba hii au niachane nayo?
Nawasilisha.
Jana saa mbili usiku nimeibiwa shilingi laki mbili na elfu arobaini na tano kwenye namba yangu ya vodacom yenye Mpesa. Fedha zimetolewa kwa wakala, na ujumbe nikaletewa kuwa nimepokea fedha taslimu toka kwa wakala huyo.
Ushahidi huu hapa.
6ES62D6M74W Imethibitishwa tarehe 28/5/19 saa 10:17 PM Pokea kiasi cha Tsh240,000.00 kutoka kwa 430185 - MWANAHAMISI RAJABU ISSA kwa ada ya Tsh5,000.00. Salio lako jipya la M-Pesa ni Tsh675.00.
Cha ajabu ni kuwa muda huo, mimi nilikuwa na simu yangu na sikufanya muamala huu.
Mara moja niliwapigia huduma kwa mteja Mpesa Vodacom ambao wamesema nisubiri masaa 72.
Swali kwa wataalam.
1.Ni nini hasa kimefanyika hadi namba yangu ikatoa fedha nipopajua ilihali simu yangu ninayo?
2. Je nitaweza kupata fedha zangu hizi?
3. Je niendelee kutumia namba hii au niachane nayo?
Nawasilisha.