Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,438
- 3,333
Rais Magufuli ametembelea Kituo cha Polisi cha Selander Bridge na kuzungumza na Askari wa Kituo hicho ambapo ameagiza WP 4160 Beatrice Kayuni Mlanzi kupandishwa cheo kutoka Koplo na kuwa Sajenti baada ya kuonesha utimilifu katika kazi.
Rais Magufuli ametembelea Kituo hicho akiwa njiani kuelekea Ikulu akitokea hospitali ya Taifa Muhimbili alipoenda kumjulia hali Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Yuda Thaddaus Ruwa’ichi
Rais Magufuli ametembelea Kituo hicho akiwa njiani kuelekea Ikulu akitokea hospitali ya Taifa Muhimbili alipoenda kumjulia hali Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Yuda Thaddaus Ruwa’ichi