-NUKUU YA SIKU.
------------------
'.Hauwezi Kupata Joto Kwa Kuingia Kwenye Friji.'- Jaji Matupa
Jaji Matupa Kaitoa Kauli Hii Leo Wakati Akitoa Uamuzi Wa Kuyatupilia Mbali Mapingamizi Ya Serikali Kwenye Kesi Ya Tundu Lissu.
Sana, Mungu ambariki Tundu lissu🙏🙏Habari njema sana hizi
....Hapa ndege, pale Lisu huku symbion haya mambo mazito na hatujui nninakuja tena ohhh na leo lori limeanguka la mafuta na kama vile hakuna lililotoekea raia wamechota mafuta kama kawa
Ni mtihani mkubwa sana kwa mahakama kama chombo cha kutoa haki. Haki ionekane kutendeka, yaani MTU achaguliwe na maelfu ya watu halafu atwangwe risasi kisha afukuzwe ubunge.
It seems you realy hate Magufuli anyway ndo rais wetu tutafanyeje sasa!That is the truth bila kupindisha na ukweli ni lazima uwekwe hadharani kwa manufaa ya nchi yetu. Anaua Watanzania wasio na hatia, kuwabambikizia kesi, kudharau katiba, bunge na mahakama. Mficha ugonjwa kifo kitamuumbua.
halafu hizo kesi za huko nje bora ziendeshwe kwa kiswahili labda wanaweza wakachukua hata siku 2.'Sasa Kama Peter Kibatala Na Vijana Wake Wawili Anawagaragaza Vibaya Mawakili 16 Wa Serikali Wakiongozwa Na Wakili Mkuu Wa Serikali, Hivi Hizo Kesi Huko Nje Ya Nchi Kama Mawakili Wenyewe Tunaowategemea Ndio Hawa Tutashinda Kweli?
Hit them where it hurts.Wewe ni mpumbavu
Mimi ni daktari miongoni mwa watanzania wachache waliohusika kwenye matibabu ya tundu lissu nchini kenya
Usiongee usichokifahamu !
Naomba unyamaze mkuu
Wewe ni mjinga sana kiongozi hafu kingine sina chama chochoteWewe ndio natakiwa nihoji kwanini baba ako akupiga puny****to kuzuia kiumbe chenye akili za kipumbavu kama wewe usitokee duniani. Nimehoji logically, Hivi risasi unazijua au unazisikia tu?Kwa akili yako ya kinyumbu ni kwamba Lisu anatakiwa aingie kwenye Guinness book of records kwa kuwa binadamu wa kwanza kupigwa risasi nyingi na akabaki hai. Najua unaakili za kunywea kahawa,lkn naomba utoke nje ya box uone UHALISIA.
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full of confidence
Mgaragazo uliotulia tayari. Sasa mkanywe sumu Lumumba.Shangazi samahani sana,japokuwa mimi nimekuwa upande wa lisuu kwa dhulma na madhambu aliyofanyiwa, kumiminiwa risasi, lakini kwenye kesi hii LISSU hana hata chembe ya haki, anekosea tena kwa kebehi na madharau makubwa sana, anastahili kuvuliwa u ubuge.
Tusipende mtu, tupende haki, mwenye akili timamu anajua LISSU kakosea kabisa na uongozi wotewa chadema wamemkosea LiSsu kwa kutomshauri lihalali.
Hichi kijamaa kijinga sana kinapinga risasi alizopigwa lissu !Hit them where it hurts.
Hapana mkuu utakua uko sawa tu.Hivi una akili kweli wewe ?
Hivi kwa nini unataka niseme baba yako alifanya jambo la kipumbavu wewe kuzaliwa ni bora angejishindia goli la mkono
Hivi ntakua wrong kusema hivyo ?
Kwa hiyo wewe umeshakuwa shoga kwa sababu Lissu kauleta? Utakuwa unao tuu siku nyingi unataka kumsingizia tuu.hayo yatawakuta nyinyi mnaokumbatia mabeberu na lissu wenu kwanza lissu anataka kutuletea mambo ya ushoga tz nani anataka na nyini mtakuwa na mambo hayo haiwezekani mfurahie ushoga na lissu wenu