Recent content by KiuyaJibu

  1. KiuyaJibu

    JamiiForums Tanzania Somewhere in Tanzania....

    Where Serengeti.......; what are you waiting for, get on board
  2. KiuyaJibu

    JamiiForums Tanzania Take a trip around the Tanzania Mainland and Zanzibar

    Here we go
  3. KiuyaJibu

    JamiiForums Tanzania ''No Reforms No Election'' Kwa lugha tofauti Dunian

    NO REFORM NO ELECTION 1. Kiswahili – Hakuna mageuzi, hakuna uchaguzi 2. Kiingereza – No reform, no election 3. Kifaransa – Pas de réforme, pas d’élection 4. Kihispania – Sin reforma, no hay elecciones 5. Kiarabu – لا إصلاح، لا انتخابات 6. Kirusi – Нет реформ — нет выборов 7. Kichina...
  4. KiuyaJibu

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Nyatike: Freedom of speech kwa East Afrika nzima, ipo Kenya peke yake

    "Mimi kama Mbunge wa Nyatike, tunapakana na Tanzania na Uganda. Nyatike ipo kwa kona ya Kenya kabisa, mahali ukivuka unaingia Tanzania na ukienda kidogo unaingia Uganda. Kitu ambacho hawa watu wetu walikuwa hawajaelewa vizuri, hii mambo ya freedom of speech kwa East Afrika nzima, ipo Kenya peke...
  5. KiuyaJibu

    JamiiForums Tanzania Teknolojia katika Uchaguzi

    Nilitegemea kujiandikisha 1. Online (kwa mtandao) na 2. Kwenda kwenye vituo vya kujiandikisha. Sasa hadi wakati huu wa kupiga kura bado mtu analazimika kwenda mahali alipojiandikisha?! Kutekelezwa kwa Na. 1, maana yake yote yangefanyika popote mtu alipo bila tatizo lolote; kwa hali ilivyo...
  6. KiuyaJibu

    JamiiForums Tanzania Hii Taarifa ya Tanzania kutumia bilioni 558 kununua magari imekaaje?

    Kama kweli Serikali inanunua magari mpya (brand new); kuna ulazima wa kutumia kiasi chote hicho kununua magari kila mwaka; wakati gari jipya lina warranty ya miaka mitano.
  7. KiuyaJibu

    JamiiForums Tanzania Bunge letu ni kubwa ukilinganisha na Mabunge ya wafadhili wetu

    "Kwenye suala la Bunge, Bunge letu ni kubwa ukilinganisha na wafadhili wetu (Marekani inatufadhili, India inatufadhili nk), sisi Tanzania tuna watu milioni 60+, Marekani ina watu milioni 350+ lakini Bunge lake lina watu 535 Kwa maana ya kwamba Mbunge mmoja wa Marekani anawakilisha watu karibu...
  8. KiuyaJibu

    JamiiForums Tanzania Familia Tajiri ya kihindi yenye ukwasi wa Trilioni 100+ yahukumiwa Jela kwa kuwanyanyasa wafanyakazi wa ndani na kuwalipa malipo kiduchu

    Yaani hao niwa hovyo kweli, yaani mbwa anakuwa na thamani zaidi ya binadamu!! Binafsi, natamani waongezewe adhabu zaidi ya hiyo.
  9. KiuyaJibu

    JamiiForums Tanzania SoC04 Tanzania ya Sekta za Kisasa za Maendeleo

    Utangulizi Tanzania tuitakayo ni ile ambayo imejenga sekta za kisasa za maendeleo na sekta mojawapo kuu ikiwa ni viwanda; ambayo itachangia hali ya maisha ya watu wake kuwa bora kwa kuongeza pato la mmoja mmoja ambapo kwa ujumla wake pato la Taifa linakua pia. Kukua kwa uchumi wa mmoja mmoja...
  10. KiuyaJibu

    JamiiForums Tanzania Waislamu wanawajibika kukabiliana na ukweli huu mchungu

    Ahsante sana
  11. KiuyaJibu

    JamiiForums Tanzania SoC04 Mwarobaini wa ajira

    Nashukuru kwa mchango wako mzuri; shida ninayoiona tukitaka kutekeleza hilo ni jinsi ya kuwabadilisha watu mawazo (mindset) ndiyo kikwazo cha kwanza hicho.
  12. KiuyaJibu

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa Afya hii imekaaje

    Habari njema! Hospitali nchini China hutibu saratani kwa kugandisha uvimbe na kisha kuuondoa bila kutumia chemotherapy: Hospitali maalumu kwa ajili ya kutibu aina zote za uvimbe hasa saratani. Hospitali nchini China inaitwa (Fuda) katika mji wa Guangzhou (Guangzhou), kusini mwa China. Qatar...
  13. KiuyaJibu

    JamiiForums Tanzania Hii inamaanisha nini?

    Kwa isiwe kwa Watanzania au wengineo pia?!
  14. KiuyaJibu

    JamiiForums Tanzania Chagga's day

    Naomba ushahidi tafadhali
  15. KiuyaJibu

    JamiiForums Tanzania Chagga's day

    Iko hivi, hawa watu wanaishi kwenye sayari inayoitwa "Dunia" ikimaanisha popote walipo duniani.
Back
Top Bottom