Suluhisho ni kuongeza miundombinu kuligana na ongezeko la mgari.Miundo mbinu hii miaka ya nyuma 1950 ilijitosheleza.Nashauri wapewe wenyekuweza kujenga barabara za kulipia ikiwa ni za juu ama vinginevyo.Yamefanyika ktk nchi za wenzetu.Nawasilisha
TRA shaurimoyo wamezodi kwa kua na utaratibu mbovo.Wateja wanasota zaidi ya wiki kupata tax clearence na hoduma nyingine.Wekeni utaratibu mzuri watu wapate huduma kwa muda na warudi kufanya shughuli nyingine za uzalishaji.
Habari zenu wadau.
Naomba kujuzwa kwa wafanyabiashara wa hapa ambao hupeleka bidhaa Namibia kushirikina taarifa za kibishara .Nimelenga zaidi kwenye mazao ukizingatia nchi hiyo asilimia kubwa ni jangwa.Karibuni
Wapendwa,
Bidhaa hii imekua adimu kwa baadhi ya maeneo.Ninahitaji cret 50 za soda kila baada ya siku moja ama mbili.Nipo Pugu kajiungeni.Bei yangu ya kununua kila creti ni Tsh 9300/=Tuwasiliane kwa number 0625468446.
Karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.