Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,034
- 1,003
Jamani huu ni msimu wa mavuno ktk jimbo la ismani tarafa ya pawaga, anayehitaji kazi aje huku kazi ni za kumwaga
Bei gani wanatoa.
elfu 7000 kwa jaruba moja la mita 25*25
aisee!!kweli mtu na bachelor yake akafanye huo upuuzi,kakosa nin kwao?