Alexelias acha ujuvi Lowasa kuweka mikono kati kuna Shida gani? Kwani kuna formula au kanuni ya namna ya kuweka mikono? Tuambie basi hiyo formula.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuoa wanawake wengi si sheria ya Mungu. Ukisoma kitabu cha Mwanzo 1:26-27 utaona Mungu alivyoumba MTU, pia Mwanzo 2: 7, 18, 21 na 22 utaona Mungu alisema atamfanyia Adamu msaidizi mmoja siyo wengi was kufanana naye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ujinga were kijana, wakati unatembea naye so ulimpenda na apandaye huvana. Uwe mcha Mungu, Hugo Dada anamwogopa Mungu ndio maana hajatoa mimba kama ulivyotaka. Na akitoa tu na pesa zako zitalaaniwa, hutakaa ufanikiwe maana damu ya mtoto Hugo itamlilia Mungu Siku zote. Acha mawazo ya...
Hugo aidha ana pepo LA ulevi au maagano ya mizimu ya kwao. Kama uko Dar nenda Tegeta, shukia Tegeta Skanska halafu ulizia Kanisa LA Ukombozi LA Nabii Malisa, mkeo atafunguliwa na shidavyote hiyo itaisha. Kuna watu walikuwa na matatizo zaidi ya hayo wakapona kabisa. Siyo kwa akili zake...
Siyo mahaba, bali ieleweke kwamba kuwa kiongozi mzuri hakutegemei kupita kwenye mdahalo. (a good leader is never determined through debate participation, rather in the way here/she handles issues pertaining to the welfare of his Society and development of the country at large. Besides that...
Unasema nitumie wote walikuwa wa Mashsriki ya kati, mbona mtume Paulo alikuwa Mtume (Mzungu wa Italia ya Sasa. Kaisari alikuwa Mzungu pia. Ukiangalia miji kama Korintho na Thesalonike ni miji ya ulaya katika nvhi ya Ugiriki. Kwa hiyo wazungu ni watu wa kawaida kama wewe tu isipokuwa...
Wewe dada tunza ahadi yako ya ndoa.Hicho kinachokunyemelea ni roho ya uzinzi na huyo jamaa uliyefall kihisia kwake anatumiwa na shetani kutaka kuvunja ndoa yako. Ukithubutu tu ndoa yako lazima ivunjike. Kama wewe ni mkristo soma 2Wakorintho 6:15-20 has mstari wa 18 na 19 na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.