Katoka Tanga kaja Mwanza bila taarifa

Katoka Tanga kaja Mwanza bila taarifa

Habari wana-jf,
Kuna demu nilimtongoza mtandaoni na alikuja hadi home ninapoishi na kukaaa kwa muda wa mwenzi mmoja atmae akaondoka na kivimbe tumboni(mimba). Alirudi kwao tanga, nilimshauri aitoe na akakubali lakin aliomba nimtumie pesa ya kufanya hilo jambo, ikatumwa. Wanasema ukishangaa ya mtandaon utayaona ya huyu demu, juzi karudi kwangu bila taarifa baada ya kupotezana kwa miez 4 uku nilikuwa nisham-delete akilini. Nimempokea na cjamfunua k yake tangu aje, na mimba ajaitoa. Je, wadau huyu demu nimfanyaje asepe mazima?

Sent using Jamii Forums mobile app

Hii story yako kuna baadhi ya scine umeruka nini?
Yaani umekutana na mtu mtandaoni ukapika kavu mpaka mimba?

Haya Pambana na Hali yako mkuu lakini kumbuka kuwa kuna watu wanatafuta watoto hawapati mpaka sasa.
 
Huyo Dada Nampa pole, hakujua kua c kila mwanaume anafaa kuwa mme.. Wengine magume dume. Huyo Dada ni mjenz mwema, angekua nyang'au angetoa mimba na kuendelea na mambo yake. Ila kwakua analenga kujenga Familia Ana hofu ya MUNGU ndo maana hakutoa mimba. Ila mti alioutumainia sasa.. Duhhhhhhhhhhh mpapai mkavu wakati wa mvua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ulijua jina future na ungetumia kinga, amejitafakari na ameamua kutokuua kiumbe. Kama humtaki katika maisha yako msaidie tu ajifungue atampata wa jumuia huko mbele na mwanao kulelewa na baba wa kambo
Sio alelewe na another parent but was agreed to be given only pregnancy then child atalelewa nasi bila kuishi pamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wana-jf,
Kuna demu nilimtongoza mtandaoni na alikuja hadi home ninapoishi na kukaaa kwa muda wa mwenzi mmoja atmae akaondoka na kivimbe tumboni(mimba). Alirudi kwao tanga, nilimshauri aitoe na akakubali lakin aliomba nimtumie pesa ya kufanya hilo jambo, ikatumwa. Wanasema ukishangaa ya mtandaon utayaona ya huyu demu, juzi karudi kwangu bila taarifa baada ya kupotezana kwa miez 4 uku nilikuwa nisham-delete akilini. Nimempokea na cjamfunua k yake tangu aje, na mimba ajaitoa. Je, wadau huyu demu nimfanyaje asepe mazima?

Sent using Jamii Forums mobile app
We acha ufala wa kutoa mimba. Kwani ulikuwahujui kile kitendo ulichomfanyia usiku kingezaa mimba? Acha kumharibia maisha mwenzio...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee mbabaa jiandae kulea acha kukimbia majukumu wakati unagugumiaa oooooh yeeehh isssssahhhhh bby kataaa ivyo ivyooo[emoji23][emoji23]ulikuwa unazani umeingiza kwenye toy la kichina au, pambana master, ulitengeneza mzinga mwenyewe sasa mbona waogopa nyuki.

driller⛏⚒
Duuh kulea sio tatzo but huyu alihitaji atunguliwe na agushe child tu akiwa out ya hapa kwangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujinga were kijana, wakati unatembea naye so ulimpenda na apandaye huvana. Uwe mcha Mungu, Hugo Dada anamwogopa Mungu ndio maana hajatoa mimba kama ulivyotaka. Na akitoa tu na pesa zako zitalaaniwa, hutakaa ufanikiwe maana damu ya mtoto Hugo itamlilia Mungu Siku zote. Acha mawazo ya kipuuzi! He kama mtoto na Hugo tu na usijekumpata mwingine utalia na nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom