Recent content by kitandilikunja

  1. K

    Msaada: Nahitaji kumfahamu mtangazaji Atia wa Radio One

    Hata mimi aisee tangu enzi za charlz hilali.
  2. K

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    utapewa nyumba ya kuilinda na kuifanyia usafi ,na kukatia mifugo majani na kulimia mashamba ya migomba manake wachaga wanarudi dec had dec.
  3. K

    Rais Kikwete amteua Balozi Mulamula kuwa Katibu Mkuu

    Hivi kazi ya ubalozi hailipi kama ukatibu ukuu?
  4. K

    Madereva: Bila Waziri Mkuu kufika Ubungo Bus terminal mgomo kesho kuendelea

    Tena huyo wanataka kuongea nae ndio mng'oa meno na kucha ngoja tusubir tuone yale ya ulimboka na kibanda.
  5. K

    Diamond na Zari waanza white party kihivi!!

    Wewe demu wako ni ingizo jipya yani umekuta kitu bikra?
  6. K

    Diamond na Zari waanza white party kihivi!!

    Na ww unaliwa kivingine hata kama sio kwa zari white party.
  7. K

    Diamond na Zari waanza white party kihivi!!

    Kwani raia wa tanzania apaswi kulipa tax?
  8. K

    Diamond na Zari waanza white party kihivi!!

    Wenzako wanapiga hela unakalia mith.11:7
  9. K

    Star TV tafuteni mtu wa kusoma habari za kimataifa

    Swala ni sauti au upate habari na uielewe? Saut kila mtu ana sauti yake cha muhimu tu kile anachokiongea kisikike na kieleweke.
  10. K

    Nina Tshs. 300,000, Naweza kuifanyia nini ili mpaka July niwe nimepata ada ya Tshs. 1,114,400?

    IZAMA Hicho kiasi cha 300,00×4=1,200,000 chenji itabaki itakua poketi money utakua unafanya hivyo kila mwaka .
  11. K

    Joh Makini mwaka 2014 ajabu kwa 2015

    Ray c ana gundu.
  12. K

    MWALIMU: Uliza kuhusu kituo ulichopangiwa

    Kwan kahama kuna nn ili kufika?
Back
Top Bottom