Diamond na Zari waanza white party kihivi!!

Diamond na Zari waanza white party kihivi!!

Wacha weeee hahahaaaa!!

ivi sasa kwann umeisoma hii post?
najutaa bora ungepita kimya kimya
kuna comment nyingine unapozipost unaasume mtu amekamata mkono wako anaiandika afu ikija akusomwa na mtu makin unasema loo............i wish i knew...................
 
ivi sasa kwann umeisoma hii post?
najutaa bora ungepita kimya kimya
kuna comment nyingine unapozipost unaasume mtu amekamata mkono wako anaiandika afu ikija akusomwa na mtu makin unasema loo............i wish i knew...................

Wacha weeeeeeeee hahahaaaa.
 
FPS ivi mie huyu huyu niwe na wivu na Dayadomo, ivi kisa nini?
nimeanza maisha kabla hata hajazaliwa, mwanangu wa kwanza ameanza kusarandia mabinti kabla hata ya yeye huyu kujua kuuficha utupu wake afu eti nije nimuonee wivu kisa nini?

mpelekee taarifa mwambie yeye hali yake ya kandambili, hadhi yake maliwaton chumban anaishia mlangoni...........
bidhaa ya nyongeza hii halali yake kuongezwa .....................
Hayo maneno tuu kila siku wenye umri kuliko wewe wapo wanaomtamani sasa wewe unamponda Daimond wa watu bure yule mfanyabiashara juzi ijumaa watu wazima kama wewe wamegombea tiketi na shuka nyeupe.Wewe kama humpendi piga kimya au wivu??????????:teeth::teeth:
 
Watanzania kwa ...."KULONGA" Wanalonga yakhe !Mtu atakwambia ana chuki na jamaa lakini kila thread akitajwa utamwona fasta kama speed ya mwanga amekuja kukomenti mambo mbofu mbofu.Inji hii.....
 
Hayo maneno tuu kila siku wenye umri kuliko wewe wapo wanaomtamani sasa wewe unamponda Daimond wa watu bure yule mfanyabiashara juzi ijumaa watu wazima kama wewe wamegombea tiketi na shuka nyeupe.Wewe kama humpendi piga kimya au wivu??????????:teeth::teeth:

mita ya luku iyoo....................
nguruwe pisha sina mkuki mie
 
mita ya luku iyoo....................
nguruwe pisha sina mkuki mie
Watu mkishakuwa "MITUMBA" mnatema shombo,tafuta wale michoko wako wa ..."kwa mtogole" uwape huo ushauri.
 
Watu mkishakuwa "MITUMBA" mnatema shombo,tafuta wale michoko wako wa ..."kwa mtogole" uwape huo ushauri.
walewale
uyo mwenyewe alikwua anakaa kwa mtogole
hujaalikwa karamuni sinia wabeba za nini?
huyo hali yake mwenyewe maji ya deki hadhi yake kumwagwa uwani period
 
walewale
uyo mwenyewe alikwua anakaa kwa mtogole
hujaalikwa karamuni sinia wabeba za nini?
huyo hali yake mwenyewe maji ya deki hadhi yake kumwagwa uwani period
Nenda hospitali ukatibiwe umekwisha!Utakuwa ukitanguliza kinyesi kabla ya mambo mengine.You are just like a dust bin(Mtumba )hata wa dubai una unafuu.Seek for a psychiatrist....
 
ivi Diamond asichotafuta kabinti ka umri wake kitu gani kila siku anaibuka na walomzidi umri kisa nini??
mbaya zaid huwaga anatafuta wale ambao kama ni bidhaa basi ni ile ya nyongeza yaani hanaga wakwake ambaye ni ingizo jipya na leke yy kama yy

Wewe demu wako ni ingizo jipya yani umekuta kitu bikra?
 
Nenda hospitali ukatibiwe umekwisha!Utakuwa ukitanguliza kinyesi kabla ya mambo mengine.You are just like a dust bin(Mtumba )hata wa dubai una unafuu.Seek for a psychiatrist....

weee tafwwwwwaaaaa
rujo @work
teh teh teh
 
mita ya luku iyoo....................
nguruwe pisha sina mkuki mie
Hizo kelele za chura tuu akikutana na maji moto anakuwa mpoleee.
Wenzako walishajiapiza hata wapewe hela ya Mayweather kamwe aaaha mbona vijana wa shigongo wakanasa matukio.:becky::becky:
 
Hizo kelele za chura tuu akikutana na maji moto anakuwa mpoleee.
Wenzako walishajiapiza hata wapewe hela ya Mayweather kamwe aaaha mbona vijana wa shigongo wakanasa matukio.:becky::becky:
mkufu huo si wajua wasifu wake?
 
Back
Top Bottom