Kuna rafiki yangu amenieleza vizuri kuhusiana na Mpawa.Kwa ufupi ili uweze kupata mkopo benki lazima uwe na bank husika,utume maombi ili yajadiliwe kisha afisa mikopo anapewa jukumu la kuhakiki dhamana zako ili kujiridhisha km utakuwa na uwezo kukopeshwa kiasi ulichoomba ,kwa mtu wa kima cha...
Wadau..huyu mzee ukiondoa maswala ya soka si alikuwa anajishughulisha kuchoma mishikaki na kuku wa sekela..aliwahi kufanyia kazi hy mtaa nyamwezi/lindi au karibu na mtaa wa kipata..mara ya mwisho alikuwa anachoma mishikaki maeneo ya upanga ..karibu na chuo cha mzumbe..pia alikuwa shabiki mkubwa...
Ngonyani..bado unaakili ya kitumwa au ni shabiki wa siasa kama mpira..siasa ni maisha,hali ya umasikini tuliyokuwa nayo inatokana na mfumo mbovu wa kisiasa,usije rithisha tabia yako ya kitumwa au puppet kwa watoto zako
@Ngw'amapalala,, naomba usikilize vizuri speech ya Lissu..ile mifano 4 aliyotoa ili kuthibitishia bunge la katiba kuwa muungano ulikuwepo hauna uhalali kisheria..si dhani ametusi Nyerere..but baba wa taifa si mungu..ni binadamu kama sisi..kwa kuna makosa aliyofanya, nadhani ukisifia hata...
Mtaji wa ccm ni watu wasiokuwa na elimu..walioelimika bt wako ccm wapo kimasilahi tu..kwani hawezi kuongelea mabaya wkt kinawaweka mjini, lakini wanajua fika kwamba nchi ina hali mbaya kiuchumi na sababu wanajua ila wamebakia kuwa waoga..wanafiki..kujipendekeza ili mradi wapate kula
Msuki...seems njaa ndio inakufanya uandike thread hii..watetezi wa magamba hawana uchungu na nchi yao..utapimaje maendeleo ndani ya miaka 5 ...gamba limefanya nini ndani ya utawala wake..km yapo yanakidhi
Mtoa maada..ninashaka na uelewa wako..kwanza jiulize nini maana kazi.Je ..ni kazi halali au sio? ..la pili nani anawaajili hao watu na wanalipwa sh? Je ujira unatosha? Makampuni makubwa hayaajili vibarua..hayo ni sale promotion na advertisement companies ndio wanaopewa tender za kutangaza.Hoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.