Tangopori
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 1,629
- 1,281
Wakuu nimepanga kuspend 200,000 hadi 250,000 kwenye kununua smartphone niachane na hii Nokia Asha 200!
Sijawahi kumiliki au kutumia smartphone so sina ufahamu mkubwa kwenye hizi simu!
Naombeni ushauri!
Kwa soko la kariakoo ni simu gani nzuri kwa bei hiyo? Najua kuna watu wameshazitumia sana na wanajua ni ipi nzuri na ipi si nzuri
so u ar wellcome for an advice to me please!
Sijawahi kumiliki au kutumia smartphone so sina ufahamu mkubwa kwenye hizi simu!
Naombeni ushauri!
Kwa soko la kariakoo ni simu gani nzuri kwa bei hiyo? Najua kuna watu wameshazitumia sana na wanajua ni ipi nzuri na ipi si nzuri
so u ar wellcome for an advice to me please!