Makoroboi
Member
- Jul 20, 2012
- 46
- 6
Nikiwasoma mnavyofuka nawapatia picha mlivyo wavivu. Yaani ajira zilivyo ngumu, hiyo kazi hadi apate keshatongozwa hadi kajichukia! Watu wanashinda kiwandani kwenye kelele, vumbi, joto na sumu na wanalupwa 80,000/= mwisho wa mwezi. Unajua Ni sh ngapi kwa simu kwa mtu anaefanya kazi 6days a week? Mi ndio maana sigawi hela kwa ndugu, kama Una shida nakutaftia kazi nakuacha hapo!
Word!!! Pesa ngumu sana aisee