Recent content by Kisamichael

  1. K

    Shetta: Sina mpango wa kufanya kazi na Ali Kiba

    Hajui kuimba shoti huyu hana jipya
  2. K

    Mafundi nguo walalamikia Matumbo makubwa ya Wanawake

    huyo ni mwizi wa vitambaa anatala awe anabana sasa ukiwa na kitambi ataibaje kitambaaaa
  3. K

    Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

    Waislam wanapenda sana ubishi wa dini hata ambapo hapastahili sijui wanamatatizo gani kwakweli ni shidaaa
  4. K

    Nini kimewasibu wazee wa siku hizi?

    JF ni kiburudisho tosha! hahaaaaa
  5. K

    Mishahara bado sana, watumishi wa umma mkaze roho

    Hakika miaka ijayo tusipoangalia tutakuwa na vita ya udini TANZANIA!Mwenyezi Mungu tuepushe na hili!AMEN
  6. K

    Leo baada ya kufuturu Inshaallah nitaichoma moto rasmi kadi ya CHADEMA

    nina mashaka sana na kufunga kwako...inakuaje unaniita shetani?je ukikuta mi ndio nabii nimekuja kuukomba ulimwengu?unadhani utakiepuka kikombe hiki?....tengua kauli yako upesi! hahaaaaaaaaa!!
  7. K

    I love you as my brother

    mtu kama huyu ng'ang'anizi unachuna mpaka ngozi ..! hahaaaaaaaaa
  8. K

    Uanzishwaji wa Tamthiiya isiyo na kikomo

    duh!napita tuu,habarini lakini
  9. K

    Nimeona nguvu ya uchawi na Mungu

    Duh!uchawi upo ndugu maombi ni kinga
  10. K

    Nimechoka na maswali ya makondakta, Eti una mia nikupe mia mbili?

    mimi wakiniambia "UNA MIA HAPO" huwa nawaambia "IPO HUMOHUMO KWENYE CHENJI YANGU" hahaaaaaaa
Back
Top Bottom