Kwanini vitanda haviwekwi katikati kwenye chumba?

Kwanini vitanda haviwekwi katikati kwenye chumba?

Opera Min

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
890
Reaction score
659
Najiuliza sana hii kitu ni mila,mazoea,au ni utaratibu tu wa jamii husika kuto weka kitanda katikati ya chumba.

tuekimishane wakuu.
 
Weee kasema nani yaani mtu ujenge nyumba nzuri kubwa halafu kitanda kiwekwe kwenye ukuta k abda kwenye nyumba za kupanga mtu unakuta kila kitu unataka kikae kwenye chumba kimoja over stoo na gst kwa vile vyumba ni vidogo na nikwaajili ya biashara
 
mbona vinawekwa mkuu.sema tu inategemea nyumba unayoishi na ukubwa wa chumba.km umejenga na chumba chako ni kikubwa BC ruksa.ila km ndo umepanga chumba kimoja ama viwili cdhani km itawezekana.labda km huna vitu vingi chumbani kwako
 
Tunaweka pembeni ili kuongeza nafasi chumbani, ukiweka katikati nafasi itakuwa ndogo lakini kama unachumba kikubwa kama Godown unaweza kiweka katikati haina tatizo.
 
mbona cha kwangu kipo katikati kasoro upande wa kichwa? au mnazungumzia vitanda vya wapi?

RF15_596090616_3000
 
Vyumba venyewe hivi vya kupanga jamani!!?? Tukiweka kitanda katikati; Ndoo, jiko, vyombo, Kochi,stuli,mabegi, tutaviweka wapi??
 
Usingizi unaweza ukapaa mana unapatkana pembeni mwa chumba km unataka kukesha weka tanda katkat uone

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom