Wakuu kwa mara nyngi nilikuwa naamini uchawi km vitu vya nadharia ktk uwepo wake,japo naenda kanisani kusali imani yangu kwa MUNGU ilikuwa haipo kabisa naenda km wajibu niliyokuta na ustarabu niliyorithi kutoka kw wazazi wangu najamii iliyonizunguka.Hvi majuzi mtoto wangu alikuwa anaumwa mapele yaliyomtoka mwili mzma,nikampeleka hospital wakampa dawa,hakupata hata nafuu,chakushangaza kuna dada aliniambia hyo mtoto wako amelogwa,akasema kwakwetu iringa lazima uhangaike kw waganga cjui kwa kwenu huku,nikampuuza,hali ya mtoto ikazidi kuwa mbaya,nikamrudisha hospital akapata nafuu ikabidi nimwone mchungaji akaniambia mtoto wako amechezewa na wachawi,km huamini atapata unafuu lakini ugonjwa utamrudia,ikawa hvyo kweli.ndipo nilipomwomba amwombee,akamwombea,mtoto cku ya pili yake mapele yote yamekauka.MUNGU NI MKUU
= hakubaliki.
Kumbe mtu wenyewe hta Kiswahili matatizo sijui, nikueleze vipi uweze kuelewa! Pole sana.
Nyie ndio wale mnaletewa sanamu la mzungu mnaambiwa huyu ndio mungu wenu muabuduni na nyie mmo tu.
By FaizaFoxy
= hakubaliki.
Kumbe mtu wenyewe hta Kiswahili matatizo sijui, nikueleze vipi uweze kuelewa! Pole sana.
Nyie ndio wale mnaletewa sanamu la mzungu mnaambiwa huyu ndio mungu wenu muabuduni na nyie mmo tu.
By LORDVILLE
Kwenye red =Hata na sio "hta"
Kwenye bold =sanamu ya mzungu na sio "sanamu la mzungu", ni ndiye na sio "ndio".
Jifunze pia matumizi ya herufi kubwa na ndogo.
Unapo mshauri mwenzako na wewe jichunguze!!
Ukiachana na ushauri wa LORDVILLE, kuna mwingine hapa. Alama ya mkato baada ya neno "sijui" ilitakiwa iwekwe kabla ya hilo neno "sijui", ili kufikisha ujumbe sawasawa.
Lakini pia umemrekebisha mwenzako kwa kudai alitakiwa aandike "hakubaliki". Si sahihi, neno ulilopendekeza lina maana tofauti na kusudi la muandishi. "Akubariki" na "Hakubaliki" ni maneno yenye maana mbili tofauti!!!
wachawi washe. nzi sana, ,napenda wote wafe, hata mimi kuna mama angu mdogo aliniloga sana wakati napambana na shule, mchawi mkubwa yule
, kawatengeneza ndugu zake wote wamekua maskini pumba vu zake, sasa hv kajichokea kakonda balaa na kufilisika juu, mungu kamjibu hapahapa duniani she nzi zake, na muda si mrefu atarudi kijijini akafie huko mchawi mkubwa.
Kama wanaweza kuwaombea waliorogwa wakapona kwanini wanashindwa kwenda Muhimbili kuwaombea wagonjwa waliorogwa na wasiorogwa wapone?
Wajinga ndio waliwao.
wachawi washe. nzi sana, ,napenda wote wafe, hata mimi kuna mama angu mdogo aliniloga sana wakati napambana na shule, mchawi mkubwa yule
, kawatengeneza ndugu zake wote wamekua maskini pumba vu zake, sasa hv kajichokea kakonda balaa na kufilisika juu, mungu kamjibu hapahapa duniani she nzi zake, na muda si mrefu atarudi kijijini akafie huko mchawi mkubwa.
jifunze kusamehe
Kwenye red =Hata na sio "hta"
Kwenye bold =sanamu ya mzungu na sio "sanamu la mzungu", ni ndiye na sio "ndio".
Jifunze pia matumizi ya herufi kubwa na ndogo.
Unapo mshauri mwenzako na wewe jichunguze!!
Wakuu kwa mara nyngi nilikuwa naamini uchawi km vitu vya nadharia ktk uwepo wake,japo naenda kanisani kusali imani yangu kwa MUNGU ilikuwa haipo kabisa naenda km wajibu niliyokuta na ustarabu niliyorithi kutoka kw wazazi wangu najamii iliyonizunguka.Hvi majuzi mtoto wangu alikuwa anaumwa mapele yaliyomtoka mwili mzma,nikampeleka hospital wakampa dawa,hakupata hata nafuu,chakushangaza kuna dada aliniambia hyo mtoto wako amelogwa,akasema kwakwetu iringa lazima uhangaike kw waganga cjui kwa kwenu huku,nikampuuza,hali ya mtoto ikazidi kuwa mbaya,nikamrudisha hospital akapata nafuu ikabidi nimwone mchungaji akaniambia mtoto wako amechezewa na wachawi,km huamini atapata unafuu lakini ugonjwa utamrudia,ikawa hvyo kweli.ndipo nilipomwomba amwombee,akamwombea,mtoto cku ya pili yake mapele yote yamekauka.MUNGU NI MKUU
Mtu anaepingana na injili ya Yesu kristo ana mapepo au mizimu hiyo haina ubishi.
MPINGA KRISTO akiwa kazini na kufikiri YESU ni kama@kahtaan
Nenda kawaulize wagonjwa kule Muhimbili "nikusaidie nini"? kinakushinda nini kuwauliza na kuwaombea wapone?
Nakumbuka Nyerere aliwapiga marufuku enzi zake, walikuja pale viwanja vya Mnazi Mmoja wakajidai eti wanaombea watu, Nyerere akawaambia nendeni Muhimbili na Ocean Road ndio kuna wagonjwa huko, sitaki muonekane viwanjani.
Hawakuonekana tena hawa wanaodanganya wajinga mpaka Nyerere alipong'atuka.
Unayajuwa hayo? au ulikuwa hujazaliwa?
Kama wanaweza kuwaombea waliorogwa wakapona kwanini wanashindwa kwenda Muhimbili kuwaombea wagonjwa waliorogwa na wasiorogwa wapone?
Wajinga ndio waliwao.
Holy spirit akikuongoza utajua ukweli ila huko uliko ni ngumu kuujua na kuufahamu ukweli.
MPINGA KRISTO akiwa kazini na kufikiri YESU ni kama@kahtaan