1. Hv kuomba omba na mimba vinahusiana??
2. Unajiweka katika risk ya kupata magonjwa kama ukimwi na pia kusababisha watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu simply because umeombwa?? Sijui ni hela ama nn
3. Sasa kama hutaki kuombwa si uachane naye??
Hiki kizazi taab sana, zamani wanaume...
Habari. Hivi inawezekana na ni sawa kwa wanandoa kukaa kipindi kirefu bila kukutana kimwili? Inafika zaidi ya mwaka na wakiulizwa wanasema hakuna shida!!
One night stand should remain as a one night stand...niliwah kulazimisha kurudia game mara baada ya kupata mambo ya uhakika kwa mtu alopaswa kua one night stand...iliboa na hatukuiongelea tena...hadi sasa tukikutana tunapishana kama strangers
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.