TUMBOO
JF-Expert Member
- Jun 27, 2014
- 3,827
- 2,013
Hebu sometimes tuacheni tupumue jamani kwani tatizo liko wapi?Kila mtu na maisha alivyojipangia aishi sasa ukianza kufatilia mambo ya watu hautakaa uishi maisha yako
Wasamehe buree ni tatizo la kuto jielewa tu....cjui tunawakataa sana umu ndio maana wAnatuandama napenda kuongea ivi umu hatujaja kutafta mabwana na mtuachee