Umechambua vizuri sana kwani kila binaadam ana mapungufu yake ila hao uliowataja wamethubutu wanatakiwa kuungwa mkono kwa maslahi mapana ya Tanzania yetu mpya.
Mkuu naungana na wewe 100% tulisema JK ni dhaifu tunataka raisi mwenye maamuzi magumu amekuja tunaanza kulia lia tena sijui tunataka nini?[emoji15] [emoji15] [emoji15]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.