Naibu waziri anapokuwa msemaji wa BASATA

Naibu waziri anapokuwa msemaji wa BASATA

Chakaza

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
41,020
Reaction score
74,693
Juliana Shonza Naibu waziri wa Habari na Utamaduni amegeuka kuwa msemaji na mtendaji wa BASATA kama alivyoonekana jana akitangaza "tumemfungia" Roma Mkatoliki miezi sita asifanye kazi yeyote (kinyume na falsafa yao ya hapa kazi tu)

Kazi hiyo aliyoifanya Shonza sio yake kama serikali bali ni ya Baraza la Sanaa ambalo lipo kisheria.

Sasa je huyo aliyefungiwa akitaka kupeleka swala hilo mahakamani kuhusu kuzuiwa kufanya kazi yake halali inayotunza familia yake anamshitaki nani? BASATA au Serikali? Na kama ni serikali je inayo mamlaka ya kumfungia?

Shonza acha kutafuta kiki wakati wizara hiyo ina mambo mengi ambayo yamelala na kama utayasimamia ipasavyo utapata kiki. Tuliza akili, kazi uliyo nayo jiepushe na kutafuta sifa.

Najua wewe Juliana Shonza ni memba humu hivyo waweza kuja na kufunguka mamlaka hayo yako kwa sheria ipi?
 
Juliana Shonza Naibu waziri wa Habari na Utamaduni amegeuka kuwa msemaji na mtendaji wa BASATA kama alivyoonekana Jana akitangaza "tumemfungia" Roma Mkatoliki miezi sita asifanye kazi yeyote (kinyume na falsafa yao ya hapakazituu)
Kazi hiyo aliyoifanya Shonza sio yake kama serikali bali ni ya Baraza LA Sanaa ambalo lipo kisheria.
Sasa jee huyo aliyefungiwa akitaka kupeleka swala hilo mahakamani kuhusu kuzuiwa kufanya kazi yake halali inayotunza familia yake anamshitaki nani? BASATA au Serikali? Na kama ni serikali jee inayo mamlaka ya kumfungia?
Shonza acha kutafuta kiki wakati wizara hiyo INA mambo mengi ambayo yamelala na kama utayasimamia ipasavyo utapata kiki. Tuliza akili, kazi uliyo nayo jiepushe na kutafuta sifa.
Najua wewe Juliana Shonza ni memba humu hivyo waweza kuja na kufunguka mamlaka hayo yako kwa sheria ipi?
Halafu kwa mbwembwe anasema wamemuita akajitetee hakwenda kumbe mtu wala hayuko nchini yuko South Africa kwenye mission zake za kazi.
Kwa bahati akipewa tunzo huko itasikia hawa hawa wakimsifu kuwa ameiwakilisha vyema Tanzania.
Hawa jamaa wanaongoza hizi taasisi kama gari lisilo na dereva.
 
Halafu kwa mbwembwe anasema wamemuita akajitetee hakwenda kumbe mtu wala hayuko nchini yuko South Africa kwenye mission zake za kazi.
Kwa bahati akipewa tunzo huko itasikia hawa hawa wakimsifu kuwa ameiwakilisha vyema Tanzania.
Hawa jamaa wanaongoza hizi taasisi kama gari lisilo na dereva. Ni yale yale ya jamaa kuandika barua ya kuita watu wafike saa 11.30 halafu barua inafika saa 12.1/4
 
Kile kiti kimepwaya.
Kiufupi yule hastahili uwaziri.
Anatakiwa awe msemaji au mwenyekiti wa bawacha basi.
Aoganizi maandamano
 
Nchi inaongozwa na washamba tuonane baada ya miaka 10 km watakubari kutoka wacha tubebe box kwanza uku...
 
Juliana Shonza Naibu waziri wa Habari na Utamaduni amegeuka kuwa msemaji na mtendaji wa BASATA kama alivyoonekana Jana akitangaza "tumemfungia" Roma Mkatoliki miezi sita asifanye kazi yeyote (kinyume na falsafa yao ya hapakazituu)
Kazi hiyo aliyoifanya Shonza sio yake kama serikali bali ni ya Baraza LA Sanaa ambalo lipo kisheria.
Sasa jee huyo aliyefungiwa akitaka kupeleka swala hilo mahakamani kuhusu kuzuiwa kufanya kazi yake halali inayotunza familia yake anamshitaki nani? BASATA au Serikali? Na kama ni serikali jee inayo mamlaka ya kumfungia?
Shonza acha kutafuta kiki wakati wizara hiyo INA mambo mengi ambayo yamelala na kama utayasimamia ipasavyo utapata kiki. Tuliza akili, kazi uliyo nayo jiepushe na kutafuta sifa.
Najua wewe Juliana Shonza ni memba humu hivyo waweza kuja na kufunguka mamlaka hayo yako kwa sheria ipi?
viongozi wengi wanasukumizwa tu huko hawaelewi wanaenda kufanya nini sasa unadhani watafanya nini zaidi ya mauzauza hayo wanayofanya?
 
Shonza hajui kazi zake! Sijui walitumia vigezo gani kumpa nafasi hii. Hadi sasa hajajua afanye nini hasa! Anapwaya saaaaaana!
 
Juliana Shonza Naibu waziri wa Habari na Utamaduni amegeuka kuwa msemaji na mtendaji wa BASATA kama alivyoonekana Jana akitangaza "tumemfungia" Roma Mkatoliki miezi sita asifanye kazi yeyote (kinyume na falsafa yao ya hapakazituu)
Kazi hiyo aliyoifanya Shonza sio yake kama serikali bali ni ya Baraza LA Sanaa ambalo lipo kisheria.
Sasa jee huyo aliyefungiwa akitaka kupeleka swala hilo mahakamani kuhusu kuzuiwa kufanya kazi yake halali inayotunza familia yake anamshitaki nani? BASATA au Serikali? Na kama ni serikali jee inayo mamlaka ya kumfungia?
Shonza acha kutafuta kiki wakati wizara hiyo INA mambo mengi ambayo yamelala na kama utayasimamia ipasavyo utapata kiki. Tuliza akili, kazi uliyo nayo jiepushe na kutafuta sifa.
Najua wewe Juliana Shonza ni memba humu hivyo waweza kuja na kufunguka mamlaka hayo yako kwa sheria ipi?
Hawa viongozi wetu wanazo job descriptions na Key performance areas au kila moja anaamka na tamko lake.
 
Hakuna kitu kibaya maskini kupata madaraka makubwa lazima awe limbukeni na kiburi juu na kujiona amna mwingine zaidi yake
 
Back
Top Bottom