Hivi mleta mada yaliyowatoke akina lema lissu lijualikali ulikuwa hapa tz au ulikuwa ughaibuni? Kwa hiyo ccm walipoparulana huko Dom ndo umeona muda muafaka kwamba Haifa linaenda kubaya? Kwa wanaccm ndo wanathamani na hawastahili kutendewa mabaya ila wakifanyiwa akina lissu upo kimya kama marehem ukome kuleta mada za kiboya yaani mimi nilikuwa natamani hata mmoja angetolewa koromeo ili waimbe vizur ule wimbo. Yaani huo ugomvi mimi umenifanya leo nigonge mvinyo na ikiwezekana watenguane na viuno maana mi sioni faida ya uwepo wa hicho chama zaidi ya hasara