Recent content by Kireka1980

  1. Kireka1980

    Alipo Mbrazil Ricardo Kaka

    Google mkuu
  2. Kireka1980

    Subaru mnatufilisi, Gari zinakunywa mafuta kama zinameza!

    mimi nina Impreza WRX STI, kwa kweli ina undugu na petrol stations. lakini ni gari ya uhakikaaa ukiendesha una feel kweli unaendesha gari kitu manual 6 speed. top speed 260 :dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance::dance:
  3. Kireka1980

    Nahitaji vyuma (vya kujenga mwili)

    Mkuu nenda Mlimani city pale game utapata hizo dumbell
  4. Kireka1980

    Special thread: Dr. Slaa tuungane uchaguzi mkuu 2015, taifa hili linakuhitaji! Tumetoka mbali pamoja

    Chonde chonde dr...tulipotoka ni mbali kuliko tunakoenda
  5. Kireka1980

    For sale toyota vitz , excellent condition , black colour

    2005???? sio kweli kama ni recent saaaanaaa... hiyo ni ya 2001!
  6. Kireka1980

    Gari inauzwa carina IT

    Dada upo sahihi Ti ndio bei zake
  7. Kireka1980

    Natafuta toyota vitz ama toyota duet nina bajeti ya milioni 4

    nina vitz namba BBL rangi ya dark blue.nipo dar
  8. Kireka1980

    Maulid Kitenge wa Radio One; Hii ni ajali au!!

    Kitenge yupo sahihi, saa kumi ya hapa kwetu ni usiku kule Brazil ilipochezwa hiyo mechi, wewe hukuelewa
  9. Kireka1980

    Natafuta ndoano ya kuvulia samaki

    mkuu nenda mlimani city Game super mkt mwisho upande wa kushoto karibia na vifaa vya mazoezi zipo za kisasa kama tunazoziona kwenye michezo super sport, but sikuulizia bei
  10. Kireka1980

    German shepherd dog for sale

    mkuu nimekupm namuhitaji leo
  11. Kireka1980

    Fastjet: Kwa wale mlikuwa mnadhani itakuwa msaada kwa watanzania, someni hapa.

    mkuu kilo 20 ni standard, mkuu unataka upande hadi na viroba vya ndizi au unapeleka mchele kilo 50 moshi ambao tofauti ya bei kwa kilo moja dar na moshi ni Tsh 100! acha kuishi kwa mazoea boss. hawa jamaa ni wakombozi kwetu
  12. Kireka1980

    Natafuta dog trainer

    mkuu usisahau kuwa inategemea na aina ya mbwa, kuna baadhi hawafundishiki
  13. Kireka1980

    Natafuta dog trainer

    mkuu nina jamaa zangu wanatrain wanatoka kitengo cha polisi na farasi kurasini mimi wamenifanyia kazi nzuri sana ni pm
  14. Kireka1980

    Spy pen ni hizi

    cheki pm mkuu
  15. Kireka1980

    Brand New I Phone 5!, Bei Poa, ya Kutupa! Ni...Laki Tatu Tuu!.

    ukikaa bar jirani na m.city wanakuambia zimepigwa m.city ila ukitaka kuwa-trace nenda bar yoyote either meeda au kifumbu lazima wapite kigiza kikianza kuingia
Back
Top Bottom