Gari inauzwa carina IT

Gari inauzwa carina IT

Du?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kwani kalazimishwa mtu kununua?kama unaona haifai kwako piga kimya atakae pendezwa nayo atasema.

usijali utauza maneno ya watu yasikukatishe tamaa unaeza kuta wengina hata magari hawana
 
mtoa mada ameweka ilani kwamba aliyeko tayari awasiliane nae, sasa mipasho yote hii ni ya nini?
 
magari siku hizi siyo viwanja jamani. Bei ishashuka sana tu. ebooooo
 
Jamani acheni kupotosha jamii,ni show room ipi utapata TOYOTA CARINA TI kwa tsh 8M? Ikiwa imeshalipiwa kila kitu?,Dada achana na poroja za baadhi ya wachaingiaji wanaosema hiyo bei ni kubwa,hao si wananunuzi,mi naona bei uliyotaja ni ndogo nakushauri anzia na 11.5M,mtu akiomba kupunguziwa sawa lkn asishuke zaidi ya 10.5M,Wateja utapata tena wengi tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom