Spy pen ni hizi

Spy pen ni hizi

@Tram zina uwezo wa kubeba meno ya tembo bila kuonekana hadi HONGKONG?

Zinaweza kuerekodi wakati watu wanafanya hyo kazi ya kubeba na kupakia kama mtu akiwa eneo la tukio husika. Na picha yake kutumika km ushauri-Thatz what I meant.
 
hii kitu iko pale samora freedom communication kwa garama ya elfu 80 tu ya 2 gb,wana bizaa nyingi za security kuna pia saa za mkononi,za mezani za ukutani na tai za camera.tembelea pale ujionee ila sina huwakika kama bado zipo maana ni mda sana nilitembelea pale kama mwezi wa 4 hivi
 
hii kitu iko pale samora freedom communication kwa garama ya elfu 80 tu ya 2 gb,wana bizaa nyingi za security kuna pia saa za mkononi,za mezani za ukutani na tai za camera.tembelea pale ujionee ila sina huwakika kama bado zipo maana ni mda sana nilitembelea pale kama mwezi wa 4 hivi
mkuu unaharibu biashara za watu
 
Ambacho ungefanya ni kusugest aangalie kuuza around iyo bei lakini kuwaelekeza watu zinakopatikana kwa bei chee ni kumwangamiza huyo muuzaji.

anajitafutia riziki labda hana ajira mnamkatili,sasa akaibe ndo mtafurahi?
Tuhurumie wengine jmn.


hii kitu iko pale samora freedom communication kwa garama ya elfu 80 tu ya 2 gb,wana bizaa nyingi za security kuna pia saa za mkononi,za mezani za ukutani na tai za camera.tembelea pale ujionee ila sina huwakika kama bado zipo maana ni mda sana nilitembelea pale kama mwezi wa 4 hivi
 
Haiwezi kuuzwa tz sheria zinakataza na ukikutwa nayo utakamatwa epukeni sana kuvunja sheria tii sheria bila shuruti
 
Marty vipi kaka mbona unafanya biashara za watu?namimi nahitaji kula
 
Hongera kaka,,,sababu za watanzania kutoendelea ni kama ivyo,,,ananiua kabisa ,,sasa kama nimenunua nyingi si zitadoda? Hajafanya vizuri kabisa,,,
 
hii kitu iko pale samora freedom communication kwa garama ya elfu 80 tu ya 2 gb,wana bizaa nyingi za security kuna pia saa za mkononi,za mezani za ukutani na tai za camera.tembelea pale ujionee ila sina huwakika kama bado zipo maana ni mda sana nilitembelea pale kama mwezi wa 4 hivi
Unaua dili la mshikaji mtoa mada mkuu!! Ye kashapata wateja wake wa Tshs 150,000/= we unakuja unawaonyesha wateja duka la Tshs 80,000/=!!!, noma sana wewe!!
 
vipi madukani zipo kama ndio duka gani naweza pata kama bado lini zitakuwepo madukani?
 
Back
Top Bottom