HIVI kuingilia uhuru wa mtu ni kumsema hivi huoni kama hawa wanaojiuza nao wanaingilia uhuru wawatu,,,harafu suala la kulaumu wanao nunua mimi siungi mkono,kwanini ulaumu mateja badala ya mapusha,,bila mapusha mateja wangepata wapi? sembe.
Habari wana JF, naomba msaada nifanyaje, dogo alichagua comb ya cbg ila shule aliyo pangiwa ndo wana anza mwaka huu kuchukua kombi hiyo.
Dogo hataki shule hiyo anaka aende Loleza, dogo ni wakike, naomba msaada namna ya kumwamisha, natumaini nitasaidiwa.
JITABOY , salamu yako hapo juu mbona nikaulimbovu kuliko hata uliyo ambiwa,,maana u sema wote tulio chini ya korodani zako.sasa una kosoa wakati huohuo na wewe unafanya madudu
Mwisho wasiku munaolewa wote,ebu chukulia mekeo ana mtoto wa jamaa na wewe una mtoto inatokea jamaa kampeleka mwanae kwenye shule kubwa alafu akamtuma mkeo aje akwambie kuwa kama inawezekana na mtoto wako ampeleke kwenye shule aliyo mpeleka mtoto wake mahitaji yote juu yake.je utakubali au na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.