M mhilisila Member Joined Jun 3, 2014 Posts 25 Reaction score 3 Jul 2, 2014 #1 Niko katika mahusiano na mdada 1 lkn bado hatujafikia muafaka wa kutambulishana lkn wazaz wake wanataka nikajitambulishe
Niko katika mahusiano na mdada 1 lkn bado hatujafikia muafaka wa kutambulishana lkn wazaz wake wanataka nikajitambulishe
M MaliShambani Member Joined Jun 25, 2014 Posts 55 Reaction score 19 Jul 2, 2014 #2 sasa kama wazazi walishajua kama mko kwenye mahusiano, yanini tena kwenda kujitambulisha? By the way, umejiandaaje na maisha mapya ya kuwa na mke/familia?
sasa kama wazazi walishajua kama mko kwenye mahusiano, yanini tena kwenda kujitambulisha? By the way, umejiandaaje na maisha mapya ya kuwa na mke/familia?
Daud omar JF-Expert Member Joined Apr 4, 2011 Posts 2,458 Reaction score 986 Jul 2, 2014 #3 Kwahyo hapa tukushauri jinsi ya utambulisho unavyokuwa ama kitu gani???
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,748 Reaction score 109,834 Jul 2, 2014 #4 Kwa hiyo unahitaji ushauri gani hapo? Kama hutaki kwenda kutambulishwa basi subiri walio tayari watumie mwanya huo kukupoka tonge...
Kwa hiyo unahitaji ushauri gani hapo? Kama hutaki kwenda kutambulishwa basi subiri walio tayari watumie mwanya huo kukupoka tonge...
Mchochezi JF-Expert Member Joined Feb 29, 2012 Posts 11,451 Reaction score 9,965 Jul 2, 2014 #5 muafaka upi huo? Nenda kajitambulishe..wazazi wanasubiria posa hiyoo
M Mokoyo JF-Expert Member Joined Mar 2, 2010 Posts 15,145 Reaction score 5,574 Jul 2, 2014 #6 najuta kupita hapa
The Intelligent JF-Expert Member Joined Dec 27, 2013 Posts 2,459 Reaction score 824 Jul 2, 2014 #7 MUSSOLIN said: muafaka upi huo? Nenda kajitambulishe..wazazi wanasubiria posa hiyoo Click to expand... Akajitambuli kivipi wakati wameshamtambua kuwa ana mahusiano na binti yao!
MUSSOLIN said: muafaka upi huo? Nenda kajitambulishe..wazazi wanasubiria posa hiyoo Click to expand... Akajitambuli kivipi wakati wameshamtambua kuwa ana mahusiano na binti yao!
The Intelligent JF-Expert Member Joined Dec 27, 2013 Posts 2,459 Reaction score 824 Jul 2, 2014 #8 MUSSOLIN said: muafaka upi huo? Nenda kajitambulishe..wazazi wanasubiria posa hiyoo Click to expand... Akajitambuli kivipi wakati wameshamtambua kuwa ana mahusiano na binti yao! Ila hapo mwisho upo sahihi.
MUSSOLIN said: muafaka upi huo? Nenda kajitambulishe..wazazi wanasubiria posa hiyoo Click to expand... Akajitambuli kivipi wakati wameshamtambua kuwa ana mahusiano na binti yao! Ila hapo mwisho upo sahihi.
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Joined Aug 10, 2012 Posts 54,798 Reaction score 53,696 Jul 2, 2014 #9 Mokoyo said: najuta kupita hapa Click to expand... karibu tena usichoke
Heaven on Earth Platinum Member Joined Mar 21, 2013 Posts 37,231 Reaction score 26,750 Jul 2, 2014 #10 unaenda kujitambulisha nini wakati wameshakujua
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,109 Reaction score 53,625 Jul 2, 2014 #11 Subiri ufuatwe na karandinga hapo getoni kwako
Matege JF-Expert Member Joined Dec 7, 2013 Posts 1,476 Reaction score 648 Jul 2, 2014 #12 tuko tofauti sana.. ivi hili nalo linataka ushauri??? we unampenda au ndo mnakula ujana bila malengo??
tuko tofauti sana.. ivi hili nalo linataka ushauri??? we unampenda au ndo mnakula ujana bila malengo??
K kipulumus Member Joined Nov 27, 2013 Posts 70 Reaction score 8 Jul 2, 2014 #13 Subiri Mimi Niende ,usije Ukaanza Kulia
Kongosho JF-Expert Member Joined Mar 21, 2011 Posts 35,987 Reaction score 24,229 Jul 2, 2014 #14 Mpige counter attack, kamtambulishe kwa wazazi wako.
Maserati JF-Expert Member Joined Jun 15, 2014 Posts 11,602 Reaction score 20,101 Jul 3, 2014 #15 Mmh.jf bhuana.n hatar aisee