Bwana Kabila01, sijawahi kukariri katika maisha yangu. Nilichouliza ni anazifungaje? Taarifa haijasema atamobilize resources. Wewe ndio unamjibia au unampa wazo? Na hilo wazo la harambee amelisema yeye au wewe? Mimi sipo kisiasa humu napenda kufahamu means ya utekelezaji. Wewe unaongea resource...
Mzee huyu na muheshimu sana ila linapokuja swala la matokeo huwa naugua. Jirani safisha cheti aise fanya hata ile wanaita private candidate PC utakatishe.
Chakii issue sio selfishness ninachokisema kipo, akiwahi mtu akaweka copyright kwa ajili ya biashara hawa jamaa hawatakuwa na uwezo wakuadhimisha jinsi wanavyoamua kuiadhimisha sasa. Kumbuka watanzania tunafeli kwakuwa si aggressive this is a business world ni lazima kujihami. Subiri itakapokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.