Final velocity inakuwa zero pia sababu ya constant acceleration ya 9.8m/s²
Kinacho umiza ni momentum kama alivyosema mjumbe (kani inayozalishwa na risasi kutua kwenye kichwa au mwili ) wa muhanga yaanj
F=Ma
M=mass ta risasi
a=Acceleration due to gravity 9.8m/s²
Kitu kikiwa kinashuka kwa gravity maana yake kinakuwa na constant acceleration 9.8 m/s² ambapo initial Velocity (u)=Final velocity (v).
Katika hali hiyo initial velocity U ya risasi inapoanza kurudi ni 0m/s.
Sijui kama umepata mwanga kidogo.
Ni kweli UKIMWI husababishwa na HIV .
HIV inapoingia mwilini hupambana na CD4 yaani Kinga ya mwili.
Kinga ya mwili hutengengeneza antibody za HIV ambazo ndizo tunazopima ili kujua kama mteja yuko na maambukizi kwa kutumia kipimk cha SD BIOLINE.
kama kipimo kikisoma negative mtu anakuwa hana...
Habari zenu wana jamvi natumaini ya kuwa mko wazima kabisa.
Nahitaji kujua mahitaji muhimu katika kuanzisha na kuendesha Open school
Na ni programme zipi hasa zinaruhusiwa kuendesha katika vituo hivyo.
Naomba kama kuna mtu yuko na Experience yoyote kuhusu hili naomba tuwasiliane.
Ahsanteni sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.