ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 24,865
- 60,863
Hawa wamasai wamekuwa wengi mjini, shida sio kuwa wengi kwani kila mtanzania ana haki ya kwenda popote. Shida ni kwamba hawa majamaa hawaridhiki na chochote kazi, kulalamika tu!
Wafanyabiashara na watoa huduma wanalalamikia sana, mfano wa kwanza nilikuwa nimeenda kunyoa sasa wakaja wamasai wawili mmoja anataka kuchongwa mwingine kupakwa black.
Baada ya kufanyiwa huduma wakaanza kutoa ma shit, eti wanalalamika wamechongwa vibaya na kupakwa black kidogo wakati ukiangalia wamefanyiwa vizuri kabisa. Wakaanza kudai wanaenda saloon nyingine kurekebisha.
Mfano mwingine, kuna sehemu tulikuwa tunakunywa supu, mmasai akaja akaagiza supu akaletewa. Eti akaanza kulalamika supu haina mafuta kisa kazoea supu za kwao wanakunywa michuzi yenye mafuta.
Inshort, hawa majamaa ningekuwa RPC ningewafanyia doria. Wamekuwa wengi sana, niwaweke sehemu moja niwape somo.
Wafanyabiashara na watoa huduma wanalalamikia sana, mfano wa kwanza nilikuwa nimeenda kunyoa sasa wakaja wamasai wawili mmoja anataka kuchongwa mwingine kupakwa black.
Baada ya kufanyiwa huduma wakaanza kutoa ma shit, eti wanalalamika wamechongwa vibaya na kupakwa black kidogo wakati ukiangalia wamefanyiwa vizuri kabisa. Wakaanza kudai wanaenda saloon nyingine kurekebisha.
Mfano mwingine, kuna sehemu tulikuwa tunakunywa supu, mmasai akaja akaagiza supu akaletewa. Eti akaanza kulalamika supu haina mafuta kisa kazoea supu za kwao wanakunywa michuzi yenye mafuta.
Inshort, hawa majamaa ningekuwa RPC ningewafanyia doria. Wamekuwa wengi sana, niwaweke sehemu moja niwape somo.